CHUKUA HII🔥:
Je, Unatafuta Fundi Laptop & Desktop na smartphone ambaye anatatua Matatizo haya?
TUSTARY GRAPHIC DESIGNER AND WEB DEVELOPER. Najikita kuhakikisha nafanya Uchunguzi (Diagnosis) ya...
Logo ni utambulisho wa biashara yako sokoni
Umuhimu wa Logo ni kama umuhimu wa kitambulisho
Logo inatumika kuonyesha umiliki wa bidhaa na huduma zako
Kufanya biashara bila logo ni sawa na...
It’s always been believed across cultures worldwide, from East
to West, that thoughts are tangible in the visible world. In African
traditions, for instance, uttering the word “death” may require...
Habari wana JF
Nauza vifaaa vya kufanyia biashara ya chips pamoja na locationya kufanyia kazi kama ifuatavyo.
1. Kabati la aluminium ngazi 3
2. Jiko la gesi
3. Kalai
4. Jiko la kuchomea...
KIWANJA KINAHITAJIKA; TEGETA/BOKO/BUNJU/GOBA/MBEZI JUU/MAKONGO/SALASALA.
KIPAUMBELE KWA VILIVYOPIMWA HASA VYA WIZARA/MANISPAA
BUDGET 20 MIL (INAWEZA KU-ADJASTIWA KULINGANA NA SATISFACTION)
Karibuni.
NINI SIRI YA NAFSI ZILIZO TELEKEZWA?
Inahusu nini, inamhusu nani, kipi kipo nyuma yake? Ungana nami kwenye mtiririko huu uweze kuelewa NAFSI ZILIZO TELEKEZWA inahusu nini.
Mwaka 1991, ni mwaka...
Habarini! Kwa muhitaji na mfanyabiashara mwenye eneo viwanja vya saba saba Dar na anauhitaji wa turubai na kufungiwa idadi yoyote kwa makubwa na madogo yapo nakodisha hata ktk sherehe misiba nk...
Habari zenu maboss.
Karibuni sana, hapa utajipatia bidhaa kama vile mashuka, mapazia, mazulia, neti, mataulo, saa, picha za ukutani, coffee table.
vyombo kama sufria, hotpot, dinner set n.k...
Habari zenu boss zangu.
Karibuni sana, hapa utajipatia bidhaa kama vile mashuka, mapazia, mazulia, neti, mataulo, saa, picha za ukutani, coffee table, d, vyombo kama sufria, hotpot, dinner set...
Habari , karibu katika kampuni ya GCC wauzaji na watengenezaji wa vitanda aina ya PALLET (PICHANI) vitanda ni brand new design na ina meet your standards , ni kuanzia ngazi mbili na kuendelea ...
LAPTOP : DELL INAUZWA IPO. MOSHI MJINI MAENEO YA KCMC CHUONI , MAPIPA ROAD.....INA RAM 8GB , ROM 1TB. ..... SYSTEM TYPE NI 64 bit , ..INATUMIA WINDOW 10 Pro...
BEI LAKI 9
Karibuni 0672701329
Waungwana habari za majukumu.
Naitwa xx natokea maeneo ya mikwambe kibada kigamboni mkoa wa Da es Salaam.
Naleta kwenu maombi kwa yeyote mwenye gari ndogo aina ya IST,SIENTA,n.k naitaji kwa...
Habari za muda wakubwa.naomba msaada kwa mwenye utaalamu wa biashara ya lubricant . Nataka kuanza hii biashara but sina uelewa wa mambo ya msingi yanayotakiwa customer wapo wa kutosha. Napenda...
Make: RANGE ROVER
Sajali wa namba E
Model: VOGUE LWB
Year of manufacture : 2015
Fuel: Diesel
Color: Brown
Leather seat
Panoramic Sunroof
Rear entertainment
Full Option
New registration
Massage...
Kiwanja kipo kigamboni kisarawe 2
Km 1 kutoka barabara kuu.
ukubwa ni 20 kwa 20
Kipo eneo zuri linaloanza kuendelea
Bei ni milioni 5 (mazungumzo yapo)
Hakuna dalali ni changu mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.