Nauza laptop my kabisa
Laptop HP laptop 17
Processor: 11th gen, Intel tm 1.5
Hard drive: Ram 476 GB
Memory: 16 GB
Location: dar es salaam
Contact: 0756523615
Price: 450,000.
MAFUTA ASILIA KABISA YANAYOTENGENEZWA NA ROSEMARY ILI KUHAKIKISHA NYWELE INAKUA NA KUJAA KWA MUDA WA WEEK 2.
ROSEMARY NI MMEA UNAOSIFIKA KWA KUKUZA NA KUZUIA NYWELE KUKATIKA.
Tupo Makumbusho...
PLATINUM CREDIT co. Ltd..
Habari njema kwako mtumishi napenda kukupa taarifa kua tunatoa huduma za MIKOPO kwa watumishi wa umma, mikopo yenye riba nafuu ndani ya saa 24.
Muda wa marejesho ni...
Hellow JF, kwa anayetafuta computer courses amtafute muhusika kwa namba 0759-124378, anapatikana Mbezi na anafundisha microsoft office, excel, power point na computer programming.
Maendeleo ya teknolojia yamekuwa na kasi kubwa sana katika miongo ya hivi karibuni. Moja ya mabadiliko makubwa ni kuingia kwa smart screens, ambazo zimefanywa kuwa na uwezo wa kuunganisha na vifaa...
Ukiwa unauza Kiwanja, Nyumba, Gari ama pikipiki n.k ndani ya Jiji la Dodoma
Basi usisite kunitafuta ili tutafute wateja kama una bidhaa pia nitumie kwenye namba hizi
CALL AND WASAP 0785076070...
Ndinga Hilo
Gari ipo vizuri sana
Gari ya mwaka 2022.
PRICE/BEI: 122M
EXCHANGE/NAVUNJA NA GARI YOYOTE✅
FORD RANGER STORM TRACK 🛻
Year:2022
Engine Capacity:2.0cc
Engine: DIESEL TURBO
Kilometer...
Zimebaki 3 tu,nazigawa kwa bei ya China, nataka 140K kwa zote. Kutoka 75K moja,mtaji usharudi sasa nazigawa...piga 0625697394
Origina QX7 smartwatch
Please buy 🙏
Habari ndugu zangu, Nissan Dualis ipo sokoni inaenda kwa Tsh mil 15
Mwaka 2009
CC 1990
Km 90k
Haina kipengele
Location Dar es Salaam-Tabata
Simu ziite ndugu zangu
0752463715
0776363230
Biashara...
Habari ya asbuhi wajumbe.
Ninahitaji Nissan Dualis kaliii nzuri na isiyo na shida. Budget iliyopo ni 12.5M. Kama itakuwa moja kwa moja toka kwa mwenye gari itakuwa vema zaidi lakini hata kama...
Wakuu mulibwanji.....
Nahitaji bass spika ya mziki wa gari ambayo haina box iwe uchi.
Iwe 4 ohms
Iwe na double coil
Na iwe na sehemu 2 za kuingizia sauti yaani hasi ziwe 2 na chanya ziwe 2.
Iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.