Pata selfie sticks ambazo kazi yake ni uezeshaji na uboreshaji wa picha za kamera ya mbele(selfie)
Hii selfie stick itasaidia picha kutokea katika ukubwa zaidi na inasaidia kuwepo kwa watu wengi...
Ninauza pad za ps2 original kwa 26000/= tu.
Mm mwenyewe ninafanya biashara ya kuchezesha gemu,pad hizi ninazitumia kwa mwaka sasa na bado ziko fresh...mwenye kuzihitaji anijulishe kupitia namba...
kwa nguo za maids wakike na kiume..0714812375.. unafuatwa ulipo ndai ya dar es salaam ni kwa bei nafuu sana..50,000 kwa nguo za maids wanawake kila kitu kwangu na kiume mashati ya kudarizi 40,000...
Wadau,
Pendeni cha nyumbani ile style ya kunyuka suit na tai kwenye Sendoff kwa sasa haipo tena.
Sasa ni mwendo wa kwachukwachu aka bazee na linen zilizodariziwa kwa rangi zinazoendana na...
Nauza mikanda ya kupunguza tumbo.ni ya mtumba.meusi nauza elfu 40 na meupe elfu 30.naleta ulipo.kama ukiwa serious kuvaa ndan ya wiki moja tumbo linaisha.napatikana kwa namba 0712620078
Natafuta chumba na sebule along maeneo kuanzia tabata-bima hadi tabata segerea....
kisiwe mbal na barabara...
kiwe self ....
jiko....
gpsum na tiles.
kiwe na maji
if possible kue na geti....
bajet...
Laptop ya samsung inauzwa ipo kwenye hali nzuri kabisa sifa zake ni:-
RAM-2.00GB
PROCESSOR-Intell celeron 1.5 GHz
SYSTEM TYPE-64-bit OS
HDD-300 GB
Battery capacity 2Hrs
Windows 7 professional...
Endelea kupata ramani bora za nyumba aina zote yani magorofa na za kawaida....
Pia tunatoa huduma mbalimbali za ujenzi ikiwemo makadirio ya gharama za ujenzi na ujenzi wenyewe.
Gharama zetu ni...
Nauza simu aina ya Samsung
model ni Samsung Chat E2222
condition ni ipo katika hali nzuri kabisa maana ina mwezi toka niinunue.
apps kama facebook windows live massanger gmail yahoo n.k zipo...
Mimi nickson naishi dar es salaam, seheme ubungo Msewe,Nina mke na mtoto wa mwaka mmoja nisaidieni kuninunulia pikipiki, kwa wenye uwezo wa kunisaidia namba yangu ni 0714064767 Mungu ambariki...
domain name mediavision.co.tz
hosting package: Mwaka mzima
ukitaka na website yake itakuwa 150000 (Utaongeza 50 tu) Nauza kwa kuwa jina lilikosewa kusajiliwa.
nicheki 0716 777 300
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.