Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta fundi mzuri wa kupau nyumba anayeishi dar es salaam . Asante
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Ukubwa kuanzia Mita 20x20 bei 4.5milion viko sehemu nzuri sana umeme upo, maji ya Bomba yako, na vyote vinafikika kwa barabara Piga #0713154547 kwa taarifa zaidi
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Zinapatikana Bei ni elfu 60,000/= kwa maelezo piga 0783 132193 karibuni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajamvi wa tekinolojia, Bado nipo katika mtiririko wa kifaa ambacho nimeekiita AVB(Automatic Low Voltage Booster),ambacho kazi yake ni kusaidia kuongeza umeme katika maeneo...
3 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari wanat JF Napenda kuwataarifu kuwa nina blog ninauza ziko 4 na zote zina watembeleaji wa kutosha na pia nina akaunti ya matangazo ya bidvetiser ambayo ina dola $50 sawa na Tshs100,000...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nyumba mbili zipo kwenye kiwanja kimoja zinauzwa, zina hati zipo eneo zuri kwa biashara zipo kilometre 1 kutoka ferry
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ukubwa kuanzia Mita 20x20 bei kuanzia 4.5milion pungufu mnaongea. Huduma muhimu zipo kama maji, umeme na barabara nzuri Kwa taarifa zaidi piga #0713154547
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jumapili saa tisa alasiri tarehe 13. 09. 2015 club ya wazee ilala kutakuwa na mkutano wa wafugaji kuku mkoa wa DSM siku ya jumapili kujadili juu ya upandaji wa bei ya chakula cha kuku na madawa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta gari tajwa (NOAH LITEACE (Old model) au PROBOX VAN kwa bei kuanzia 8.5m mpaka 9.0m kulingana na ubora wa gari (haina dalali MUUZAJI ndio awe mmiliki wa gari). MAWASILIANO 0712212299.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata software zote, programs za simu za aina zote na za computer pamoja ushauri wa simu na komputer kwa gharama nafuu.. Ushauri ni bure kabisaa.. Follow me facebook "maedson mahonge" au call me...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji TV pc 10 za nchi 24 Samsung kwa bei ya jumla utanipata kwa no zifuatazo: 0752842099, 0786842099 karibu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina laki nne tu, naweza kupata lap top nzuri mpya kwa kiasi hicho? Je, ni aina gani ya lap top ambayo haina usumbufu unanishauri niitafute? Naomba ushauri wako.
0 Reactions
0 Replies
878 Views
nauza techno p5 ipo katika ubora kwa shilingi laki moja nipo dar,kama unahitaji nipm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kina ukubwa wa Upana mita 17 na urefu mita 30. Milion 6 0782578576
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu,simu tajwa inauzwa na iko katika hali nzuri. Kama unahitaji tunaweza kuwasiliana kwa namba hizi,0672110065
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nyumba ipo mbagala kwa mmwera, ni kilomita 1 kutoka st. Anthony's secondary school ina vyumba 4, sitting room na dining, parking, na eneo la kutosha kujenga vyumba vya uani. Inahitaji matengenezo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Je unamtaji lakini hujui ufanye biashara gani, na ujui pakuanzia? je unabiashara lakini hailudishi faida mpaka inapelekea unaona kama chuma ulete wanachuma mali zako? je umemaliza chuo na ujapata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mbezi Luguruni situated along Morogoro road.Well organized place in Dar es salaam.Residential plots measured 1120square meter each and surveyed and have voucher for payments.That means Title...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamii, Nlikua naomba msaada wenu kujua ni sehemu gani naweza kupata suti either black or dark blue kwa bei nzuri,pia nahitaji msaada wa kujua ni wapi naweza pata mashati ya kuvalia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…