Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Brand new unopened, unused, original packaging.brand:LG,size:43"108cm",model:43LF540T,full HD,USB,HDMI,TripleXD engine,DIVN HD.free satillite channels.Full warrant.Pay on Delivery/Pickup...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni mpya na original ram 1gb int mem 8 camera 8mp betre ipo vzr screen 4.6 only 380k
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa.. Eneo: Mikwambe kwa Pinda, Kigamboni (3km from Kibada. 1km from main road, Karibu na mradi wa NSSF Kijichi) Hakijapimwa. Ukubwa: Miguu 28 kwa 30 Hakina mgogoro (Kina hati ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunapatikana Mabibo Farasi lakini tutakufikia popote Dar es Salaam.. Bei:Tzs 50,000 kwa Turubai moja kwa siku Tzs 400 kwa kiti kwa siku Tunatoa huduma ya usafiri bure.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
1995 Suzuki Carry Engine: 650cc (4WD) Mileage: 31,447 (Genuine) Price: 9.0m
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nahitaji hiyo simu wakuu...iwe original sitaki famba..kama una copy yako kaa pembeni..budget ni 750000 Mwnye nayo aweke contact hapa tufanye biashara...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tigo 270 Airtel 130 MPESA 170 tu.... Na logbook zake 0712191251
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Plasma samsung nch 55 ipo powa sana ilinunuliwa dukani ikiwa mpya Briefly specification ina hdmi, usb, av/component inapatikana Temeke kurasini bei 1,350,000 inapungua simu 0755984282
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari Zenu! King'amuzi Changu kiliharibika ikabakia remote kama kuna mwenye uhitaji anitafute 0655 544 791 bei ni elfu kumi Asanteni.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Linahitajika bango la wakala wa tigo, mpesa na airtel money liwe la kuhamishika kwa urahisi kama lile lenye umbo la pembetatu.
0 Reactions
3 Replies
914 Views
bei ni 30,000 kwa king'amuz cha startimes ina antena, na dvd ya sansan ndogo ni 45,000 ina wik 2 tu toka itoke dukan, niko dar 0758643219 bei zote ni fixed
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau heshima kwenu, Kama mjuavyo sasa Njombe imepewa hadhi na kuwa mkoa rasmi,kuna fursa nyingi za biashara ila kwa leo nina fursa hii: Kiwanja/shamba linauzwa Njombe,ni KM 7 toka Njombe...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari, wadau nahitaji contacts za Kibaha High School asap yeyote aliye nazo naomba anisaidie. shukrani
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nauza hand made gabions zinazotumika kwa ajili kuzuia mmomonyoko( erosion). Zinatumika sana kwenye ujenzi wa barabara,madaraja na pia kwenye fukwe za bahari. Wanajamii mwenye kuhitaji au unamjua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ushindwe mwenyewe ndugu. Viwanja vinauzwa bei chee. Maeneo ya Mtongani kata ya Kunduchi. Piga simu: 0712973820. Ushindwe mwenyewe kuishi mjini. Fanya mabadiliko sasa..
0 Reactions
19 Replies
3K Views
I currently have half a client urgently looking to spend his money on buying a new home in Ununio ,Bahari Beach, and Mbezi Beach. If you have a property to sale send a picture of your property...
1 Reactions
2 Replies
860 Views
Being ya king'amuzi cha azam
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Husika na somo hapo juu tunahitaji bajaji mbili zenye good condition. Ni pm picha na bei yako.
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Taarifa njema ni kuwa Gharama za kununua kifaa cha ku-control joto kwa ajili ya incubator kinapatikana kwa bei poa ya 50000/= tu kikiwa tayari na vifaa vyote kama Sensor ya joto,na contactor ya...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Wakuu natafuta gari automatic ya shilingi milioni nne ambaye anayo awasiliane nami kupitia 0658578715
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…