MKONGORO JF-Expert Member Joined Jun 15, 2014 Posts 345 Reaction score 307 Sep 12, 2015 #1 Wakuu habari Zenu! King'amuzi Changu kiliharibika ikabakia remote kama kuna mwenye uhitaji anitafute 0655 544 791 bei ni elfu kumi Asanteni.
Wakuu habari Zenu! King'amuzi Changu kiliharibika ikabakia remote kama kuna mwenye uhitaji anitafute 0655 544 791 bei ni elfu kumi Asanteni.
chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 21,535 Reaction score 28,283 Sep 13, 2015 #2 me niuzie betri Nina shida nazo
BABU KIDUDE JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 1,587 Reaction score 918 Sep 13, 2015 #3 How much
niachiemimi JF-Expert Member Joined Feb 18, 2015 Posts 3,671 Reaction score 5,470 Sep 13, 2015 #4 upo mkoa gani mkuu
white wizard JF-Expert Member Joined May 18, 2011 Posts 8,618 Reaction score 13,889 Sep 13, 2015 #5 sasa hiyo bei ndio bei ya dukani!! inakuwaje
Humble African JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 4,781 Reaction score 14,439 Sep 13, 2015 #6 MKONGORO said: Wakuu habari Zenu! King'amuzi Changu kiliharibika ikabakia remote kama kuna mwenye uhitaji anitafute 0655 544 791 bei ni elfu kumi Asanteni. Click to expand... Hiyo bei ya dukani..elfu tano nakupa sasa hivi.
MKONGORO said: Wakuu habari Zenu! King'amuzi Changu kiliharibika ikabakia remote kama kuna mwenye uhitaji anitafute 0655 544 791 bei ni elfu kumi Asanteni. Click to expand... Hiyo bei ya dukani..elfu tano nakupa sasa hivi.
Fasouls JF-Expert Member Joined Jun 24, 2011 Posts 937 Reaction score 321 Sep 13, 2015 #7 mi nauza king'amuz aina hyo hyo inatumia antena sio dish
Hany JF-Expert Member Joined Apr 2, 2014 Posts 432 Reaction score 257 Sep 26, 2015 #9 Hahhahaha nishidaaa
nanawoo JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 1,312 Reaction score 1,278 Sep 26, 2015 #10 Mhh wapelekee startime watakurudishia pesa yako
Msarendo JF-Expert Member Joined Jan 29, 2011 Posts 10,901 Reaction score 7,098 Sep 26, 2015 #11 njaa itakuua wewe
USSR JF-Expert Member Joined Jul 15, 2015 Posts 11,955 Reaction score 28,191 Sep 26, 2015 #12 hahjajjgjsjjshaahghhhj
nanawoo JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 1,312 Reaction score 1,278 Sep 26, 2015 #13 Mtu chake mkuu acha auze imsaidie hata kilo mbili za maharage
Nifah Platinum Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,416 Reaction score 82,368 Sep 26, 2015 #14 Hahahahaaa dah
Mbwa dume JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 6,289 Reaction score 10,987 Sep 26, 2015 #15 mboni hivi ving'amuzi kuna kipindi tuliuziwa sh 4000 jumla na remote! sasa wewe remote pekee wauza elfu 10! #toroka uje!
mboni hivi ving'amuzi kuna kipindi tuliuziwa sh 4000 jumla na remote! sasa wewe remote pekee wauza elfu 10! #toroka uje!