Tigo wamekamilisha kufunga mitambo yao ya 4G LTE ndani ya mkoa wa Dodoma.
Ushahidi huu hapa;
Hivyo basi nauza modem ya 4G mpya bei ni 85,000 fixed, (Tigo wanauza 100,000 ambazo zimefungiwa na...
Nahitaji vifungashio vya kuwekea unga wa lishe, na bidhaa zinazotokana na mimea.
Pia nahitaji mtu anayeweza kunitengenezea vibox vidogo vya sabuni.
Kwa maana kwambavifungashio ambavyo vina...
Hallo,
Pata hii External HDD 1TB(1000GB) iliyosheheni 40 TV-Series na Movie chache 100, uweze kufurahia ukiwa Safar/Mapumziko.
Wakati mwingine nyumbani unakosa hata Muda wa kuangalia hata TV...
Laptop aina ya HP Pavilion g6 imetumika miezi tisa tu.... ina intel CORE i3 processor 2.4Ghz,RAM 4GB,HDD 500GB......haina shida yeyote isipokuwa battery inahitaji kuwa replaced bei ni karibu na...
Naomba kupata recommendation ya mafundi wazuri wa finishing za kisasa, inawezekana umefanyiwa kazi nzuri na fundi fulani na unafikiria ni vizuri na wengine wapete huduma nzuri kama hiyo. Naamnisha...
Habari wana JF ?
Primeprintsystems & general services .
Located : Kariakoo
Tunadeal na desgning & printing (promotional materials (brochures,Identity card,business card,fliers,posters)
large...
Iwe katika hali nzuri, plate number kwanzia C, ikiwa D itakuwa Safi zaidi. Isiwe inadaiwa road licence. Budget Ni mil 5.
Napatikana Dar es Salaam. 0755815184
Habari zenu wakuu.
Nimepitia beforward mtandaoni nimeipenda NOAH ambayo ni USD 700.
Naomba msaada wa kujua gharama mpaka naliweka ndani hilo gari ni Tsh ngapi?
Shukrani natanguliza.
Habari ya humu wakuu am Tanzanian live in Nairobi nafanya kazi zote za gypsum kama-
Gypsum partition
Gypsum celling
Acoustic celling.
Nina uzoefu wa muda mrefu pia nimefanya kazi sehemu tofauti...
Nauza fish pond pump pamoja na filter na role line na underlayer. Vote kwa pamoja ni tsh 900,000 kutoka UK.
Role liner in urefu mitre 9 kwa 4
Pump 9000 litter per hour. Na filter 10,000 per...