Nauza kiwanja Mbezi kwa bei nafuu

Nauza kiwanja Mbezi kwa bei nafuu

Karibuni,kiwanja kipo sehemu nzuri na bei ni nafuu
-mita25*18,bei ni 4.5mil
-mita30*30,bei ni 8mil
Maelewano yapo
Mimi ndio mwenye kiwanja
Karibuni
 
Mkuu kwanini usivipime,utaftie hati then uuze kwa bei nzuri?
 
Mkuu kwanini usivipime,utaftie hati then uuze kwa bei nzuri?

Sina pesa ya kuniwezesha kupima na kutafutia hati,nilifuatilia niliambiwa niwe na pesa wastani wa 1mil kwa kiwanja kimoja,ndiomaana nauza bila kufanya hivyo,atakayenunua anaweza kutafutia hati
 
Kiwanja bado kipo,karibuni
 
nakuja tubadilishane na gari Mark 2 ipo vizuri sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom