laptop hp compaq makbook inauzwa kwa bei rahisi kabisa.
ina mwaka mmoja na nusu, screen nyeusi
ni window 8.
haina tatizo lolote kwa maelezo zaidi tuwasiliane
Kiwanja kinauzwa Mwongozo Kigamboni. Kiwanja hiki kina hati na kimepimwa na kiko tambarare tayari kabisa kwa ujenzi.
Kina eneo la square metre 700. Kipo mahali penye usalama wa kutosha na...
Nipo dar es salaam. Kichwa cha scania tu bila trailer nakitafuta kwa matumizi yangu. Horsepower 113 au zaidi. Namba yoyote A,B,C nitajie bei from their we negotiate.
Kiwe kwenye hali nzuri. Call...
Habari za humu wakuu., natumai ni kwema na tunazidi kusongesha mbele na gurudumu la maendeleo ya kujenga taifa letu.
La msingi: Mimi napataikana mwanza ninauza pikipiki yangu aina ya fekon ina...
Mambo vipi wapendwa kuna TV BRAVIA ya Sony ipo ndani ya warranty, ni flat new model inch 32 imetumika kwa muda mfupi sana.
Haina mikwaruzo ya aina yoyote ile,infact ipo kwenye hali nzuri sana, ipo...
Nauza kiwanja maeneo ya Kange Tanga nyuma ya Ekenforde University umbali wa mita 800 toka chuo kilipo kipo kwenye mapimo,ukubwa ni 30 kwa 20 .Bei kinaanzia 7 million. Maelewano yapo kwa...