Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Petrol station Plot No: 323 Complex Plot No: 324 Location: kigamboni-mbutu
1 Reactions
3 Replies
567 Views
KIWANJA KINA UKUBWA WA 20*20 KIKO MBEZI KWA BEDUI, KARIBIA NA MPAKANI A' NJIA YA KUELEKEA GOBA BEI NI MIL 6 KIWANJA KINA NYALAKA ZOTE KWA MAWASILIANO 0714309012
0 Reactions
7 Replies
876 Views
Asalaam Aleykum! Wakuu kwanza kabisa napenda kuwafahamisha kwamba kwasasa Chalinze imeshakuwa wilaya, ujenzi wa makao makuu ya wilaya umeshaanza pamoja na stendi kubwa ya magari ya abiria ambayo...
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Eneo linauzwa. Ni robo hekari. Pembeni kumejengwa vyumba viwili vya kulala na sebule na choo... Lipo Chanika Nyeburu. Bei ni million 30. Halina udalali ... 0620593714
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Viwanja vipo kibaha kwa mfipa,karibia na chuo kipya Cha uongozi,vimebaki viwili kila kiwanja kina square meter 400. Bei kwa kila kimoja milioni 4 na nusu. Umbali km 1 na nusu toka morogoro road...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Karibu Katika Mradi Mpya wa Viwanja Maeneo Ya Mvuti Km4 Kutoka Chanika Kwenda Mbagala Mradi Upo Mt 350 Kutoka Barabara Kubwa Ya LAMI Bei Ni Tsh, 7000/= Kwa Mita 1 Ya Mraba Na Vimepimwa Kuanzia...
3 Reactions
26 Replies
6K Views
Shamba linauzwa miono ,mkoa wa pwani,zipo eka Mia,Kila eka moja laki mbili na nusu,zipo pembeni ya mto wenye maji muda wote,linafaa kwa kilimo Cha umwagiliaji na Cha msimu,mazao yanakubali...
4 Reactions
74 Replies
12K Views
Hakuna uwekezaji kama kuzika pesa ardhini, kuna SHAMBA kubwa la ekari 20 lina mikirosho tupu na mikubwa linauzwa kwa mill 45, maongezi yapo karibu Sana kwenye green minerals (karosho). Sent from...
0 Reactions
2 Replies
559 Views
Kiwanja kinauzwa mbagala rangi Tatu umbali wa mita 200 tokea Kilwa road. Kina sqm 221.Kina Leseni ya makazi(Hati za Manispaa).Eneo Kuzunguka limejengwa. Nicheki chap kwa 0677089280.
2 Reactions
22 Replies
2K Views
🌲🌴 MBAGALA CHAMAZI MBANDE, NEW PROJECT NEW SITE 🌲🌴 RESIDENTIAL PROPERTY ✅ NO DOWN PAYMENT. ✅ NO RESIDENTIAL FEE. ✅ SITE VISITING NI KILA SIKU 👌 GOOD FOR RETIREMENT OR BAKASYUNAN. ✅ ACCESSIBLE...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Urefu: mita 47 Upana: mita 19 Umeme na maji yameshafika kwenye kiwanja. Bei: 80M Simu: 0717508084
0 Reactions
1 Replies
507 Views
Shamba lipo Dakika 10 kutoka Barabara kuu linafikika kwa Gari na Miguu Lipo opposite na Serikali za Mitaa za Fukayosi. Huduma za kijamii zipo Linafaa kwa Kilimo na Makazi. Bei ni 1,500,000...
2 Reactions
54 Replies
8K Views
Shamba lipo fukayosi Bagamoyo.. lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana. Lipo Fukayosi Bagamoyo - km 10 kutoka Bagamoyo road, shamba lina heka 15. Document zote za...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari, Nauza kiwanja Cheney hati miliki kipo kibaha picha ya ndege km 2 kutoka barabara kuu na kiwanja kipo barabarani kabisa . Ukubwa 1026 sqm, bei 12,000/= per sqm na huduma za jamii zote zipo...
2 Reactions
8 Replies
987 Views
Kiwanja kipo eneo la Nzuguni centre kabisa kwa wasiokufahamu ni Karibu na stendi kuu ya mabasi ya mikoani na soko kuu la ndugai . Kiwanja ni kwa ajili ya matumizi ya taasisi za kidini, shule na...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari wakuu, Mkoa wa Tanga, wilaya ya mkinga karibu kabisa na barabara kuu ya kwenda Mombasa Kenya kupitia horohoro boder kuna beach plots zinauzwa kwa bei rahisi tu. Viwanja hivi vinafaa kwa...
1 Reactions
5 Replies
774 Views
[emoji2769]Ngazi Ya Kupanda Kiuchumi Ipo Kigamboni [emoji2769]Hakikaa Hata Wewe Unaweza 143000 TU Kila Mwezi. [emoji2769]Kamwe Usiruhusu Mazingira Yanayokuzunguka Kuzuia Ukuwaji Wako [emoji2769]...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa Tegeta A. Square meter 400. Bei ni shs 15m. Kuna matofali mengi tu kama bonasi. PM au email tajirika@gmail.com. Mhusika mimi kwa hiyo hakuna udalali.
1 Reactions
6 Replies
942 Views
Kiwanja Fumagila Kishili Jijini Mwanza Bei: Laki 6 tu punguzo hakuna Size: hatua 18 kwa 16 za miguu Mawasiliano: 0713096076 Kiko karibu na barabara kuu ya Kishili-Nyanama-Fumagila-Bujingwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza kiwanja Kibamba shule, karibu na Hondogo sekondari ukubwa wa eneo 35m x 15m liko vizuri sana bei 10,000,000 mawasiliano 0787503677 or 0656403680
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom