Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

5 bedrooms,1 master bedroom Ina kisima cha maji safi na tank lake Eneo sqm 1000 Parking space ya kutosha ata gari 8 Title deed Bei 190m mazungumzo More details 0715877076
0 Reactions
4 Replies
465 Views
Ina fremu 8 na vyumba vi5 Ipo opposite na mwendokasi Imegusa barabara kubwa ya lami Eneo sqm 400 Clear title deed Bei 800m mazungumzo More details 0715877076
0 Reactions
0 Replies
333 Views
Tunatafuta eneo lililo karibu na barabara kwa ajili ya kuhifadhi mchanga, matofali, na vifaa vingine vya ujenzi. Tunatafuta mtu mwenye eneo na ambaye yuko tayari kushirikiana nasi kwa makubaliano...
4 Reactions
3 Replies
358 Views
Wakuu, Ninatafuta mashine ya kutengenezea juice ya miwa. Kama unafahamu inapatikana wapi nakuomba unielekeze. Preferably ndani ya mipaka ya Dar es Salaam. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
135 Replies
57K Views
Habari? Je unahitaji BUSINESS CARDS? wasiliana nami leo niweze kukufanikishia.. Business cards 100 kwa Tsh 25,000/= tu UNAHITAJI VIPEPERUSHI? Kwa mahitaji ya Vipeperushi pia unaweza wasiliana...
2 Reactions
47 Replies
2K Views
• Direction: Shariff Shamba • Plot/Floor Area: 367 sqm • Document: Title deed • Price: TZS 550 million • Viewing charge: TZS 30,000 . ✓ jengo ni la ghorofa 1 ✓ ghala lipo chini na juu ✓ ofisi...
0 Reactions
0 Replies
306 Views
Habari! Nauza saloni nzima ya unusex kwa shillingi 2.5 Million za kitanzania pekee! Haijawahi kutokea! Eneo Yombo Buza. Kila kitu kinauzwa kasoro watu Karibu PM
5 Reactions
25 Replies
7K Views
Habari za majukumu ndugu Wana jamvi, poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa. Tunauza ng'ombe bora wa maziwa hapa rungwe mkoani mbeya tuna ng'ombe aina mbali mbali wanaotoa maziwa mpaka lita 20 kwa...
2 Reactions
45 Replies
7K Views
Kuna mambo kadhaa muhimu ya kuzingatia, ikiwa ni pamoja na: ✓ Utafiti wa soko, ✓ Mikataba ya kukodisha, ✓ Usimamizi wa fremu za biashara na ✓ Uendelezaji wa biashara. Makala hii itaangazia...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Xiaomi Redmi Note 11 Storage Gb128/6Gb Ram Camera ni balaa📸🔥🔥50MP ultra Wide /13MP Selfie Laini mbili Battery 🔋 5000MAH (Over 2 days lasting with data usage) Simu iko clean Vibaya mno...
0 Reactions
17 Replies
33K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema natafuta ford trucks za miaka ya nyuma iwe inatembea au imepaki chamsingi bodi iwe nzima. Nicheki dm tufanye biashara.
3 Reactions
6 Replies
688 Views
Karibuni kwenye pub yangu iiyopo kinyerezi mahakamani (mnadani). Miongoni mwa huduma zetu ni hizi 1) Free WiFi 2) Vinywaji vya kila aina 3) Music 4) Shisha nk Pia tuna karioke kila siku ya...
3 Reactions
25 Replies
6K Views
Natafuta Laptop 1. Apple MacBook Pro (16-inch,M1 Pro/M1 Max) 2. Dell XPS 17(9710) aliyeko na mzigo wa uhakika siyo Hizi refurbished tuwasiliane PM
0 Reactions
2 Replies
422 Views
BEI YA DESIGN TSH 50,000/= (UTAPATA NA OFFER YA REALISTIC MOCKUP YA BIDHAA YAKO) BEI YA KUPRINT STICKER TSH 600/= A4 SIZE HUDUMA ZETU UTAZIPATA MAHALI POPOTE ULIPO! FREE DELIVERY NDANI YA DAR...
1 Reactions
46 Replies
10K Views
Habari Wapambanaji wote. Naitwa Derick Mtimba ni afisa mauzo wa Shacman Tanzania. Ninayo furaha kuwajulisha kuwa kampuni yetu inatoa aina mbalimbali za magari ya mizigo na ujenzi, yakiwemo...
1 Reactions
3 Replies
27K Views
• Direction: Ungoni Street • Price: USD 120,000 • Terms: 50% Upfront; the rest within 3 years • VAT & Transfer not inclusive in price • Monthly Service charge: TZS 180,000 . ✓ new built (not used...
0 Reactions
0 Replies
346 Views
• Direction: Wazo Hill, 1 km off Madale Road • Facilities: 4 bedrooms, 3 washrooms • Plot Area: 1069 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 180 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ vyumba...
3 Reactions
4 Replies
593 Views
Habari za weekend, Wakuu. Husika na mada tajwa hapo juu, Waswahili wanasema kimfaacho mtu chake, Ninauza iyo machine ya kukamulia Juice ya MIWA, ipo Tanga kwa Bei ya 850K, Ipo katika hali nzuri...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wapendwa! Kuna jamaa yangu ana uhitaji kibiashara hana mtaji wa hela ila anataka gari aina ya Alphard no E iliyo katika hali nzuri kwa ajili ya wazo lake kibiashara. YEYE: Kiwanja 30 kwa...
3 Reactions
12 Replies
20K Views
Wakuu . Natumaini mko poa! Hivi kwa maeneo ya pembeni ya mji Moshi au Arusha nikitaka kiwanja kinachofaa kujenga nyumba ya kawaida tu eneo dogo labda vyumba vitatu basi Niandae kianzio kama...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…