Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja ni tambarare Ukubwa wa kiwanja ni square meter 1045 Mawasiliano for serious buyer 0692450861 Umbali toka Feri ni km 19 Price - 12,000,000/= Negotiable.
1 Reactions
6 Replies
522 Views
Kazi ya haraka kesho tarehe 24. Printer inajam kila baada ya kuprint page chache. Aina ni Hp Canon 404. Location. Dar es salaam ubongo. Please DM me with your quotation
0 Reactions
1 Replies
332 Views
Nauza Printer 🖨 ya Epson L850 Ina kila kitu chake, ni mpya sijawahi itumia Tsh 900,000 All in one printer Print,copy,scan Six color eco-tank Colored printer Quality 💯 Napatikana Dar, Mbweni...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari za leo wakuu, Natafuta gari dogo, binafsi, isiwe zaidi ya cc1400, kukodisha kwa mizunguko ya Dar es salaam weekend hii. Dereva ni mimi mwenyewe. mwenye nayo nicheck whatsapp 0688180839.
1 Reactions
3 Replies
472 Views
Call / WhatsApp 0652565597 / 0687391033 📌 Sony HD Projector 📌Screen Display 100+ Inches 📌Lamp Hours 10000 📌lumens 3000 ( Inaonesha Hata Mchana ) Inafaa Kwenye Mikutano, Kufundishia Na Kuoneshea...
0 Reactions
0 Replies
462 Views
Kwa mahitaji ya haraka ya Chumba/ Nyumba ya kupanga maeneo ya Pugu/Kigogo fresh na maeneo ya Kinondoni wasiliana na 0785825442
2 Reactions
2 Replies
604 Views
Je, unahitaji kuandikiwa 1. Research Ikiwemo proposal, data collection, data entry, result 2. Business plan proposal 3. Curriculum vitae (CV) Basi usipate shaka nicheki kupitia e-mail...
0 Reactions
0 Replies
239 Views
Sisi ni wakala wa Bima tupo Dar es Salaaam, Kinondoni, tunahitaji vijana wa kike/kiume, wenye elimu ya bima ngazi ya cheti/Diploma Kwa ajili ya KUUZA bidhaa za bima, ni kazi ya mauzo/masoko kama...
1 Reactions
3 Replies
499 Views
Graphic Card Nvidia RTX 2060 Super 8gb Nauza Tsh 600000/= laki sita inacheza games zote wakuu niwewe tuu na wale watu wa 3d hii ni fursa kwako chukua piga kazi kwa uhakika 0657977457 📍Dar es Salaam
1 Reactions
0 Replies
367 Views
CHAHWA, CHAMWINO IKULU, DODOMA Eneo la kiuwekezaji, linakaribia ekari moja. Ni 4350 sqm. Limepimwa tayari. Hapa unanunua then unagawa viwanja unaanza kutengeneza faida kemkem. Ni nyuma ya Ikulu...
1 Reactions
56 Replies
5K Views
Habari za leo wakuu, Natafuta gari dogo, binafsi, isiwe zaidi ya cc1400, kukodisha kwa mizunguko ya Dar es salaam wiki hii. Dereva ni mimi mwenyewe. mwenye nayo nicheck whatsapp 0688180839.
1 Reactions
2 Replies
420 Views
Habari wana jukwaaa kama kichwa cha habari kilivoanza hapo juu nauza printer yangu nilokuwa na malengo ya kufanyia kazi ila kutokana na mambo kwenda vile nilivyopanga nimeona bora mali yangu...
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Mdau , leo nakutupia hii apa Wewe unapenda mziki mkubwa? Chukua hili dudeee Hutojutiaaa Swipe kulia kuona video 👉🏽 JBL boom box 2 - 1,200,000/= JBL party box 310 - 1,650,000/=...
3 Reactions
5 Replies
695 Views
Habarini Wandugu. Naomba kusaidiana kupeana taarifa juu ya nyumba au vyumba vya kupanga kwa jiji la Dar es salaam. Kuna nyumba itakuwa wazi kuanzia January 10 yenye: - Vyumba 2 kimoja master -...
7 Reactions
70 Replies
16K Views
Mashine zote ni 350,000/= Used In Japan Chagua yako kisha piga simu 0757187238 Zipo Tabata Aroma Dar es alaam
1 Reactions
9 Replies
604 Views
Jamani natafuta kiko (mtemba wa kuvutia tumbaku). Babu yangu anasema atanipa laana nisipomletea. Nimejitahidi kumweleza madhara ya tumbaku lakini kasema ameanza kuvuta tangia zama hizo. Kiko chake...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Hii huduma naitoa kwa mdau yeyote, popote alipo Tanzania, kwa gharama nafuu kulingana na wazo la mradi wake. Uwekezaji wowote wa rasilimali zako binafsi au za mkopo au za ruzuku/msaada unahitaji...
1 Reactions
2 Replies
343 Views
Mtende is a beautiful area located in Zanzibar, known for its stunning white sandy beaches, crystal-clear blue waters, and serene natural surroundings. Visitors to Mtende can immerse themselves in...
1 Reactions
57 Replies
4K Views
Umuofia kwenu! Since when do women speak in Mvoutese! Things Fall Apart. Wakuu natafuta gari aina ya Honda Fit. Kama kuna mtu unamjua anauza nijulishe. Gari iwe kwenye hali nzuri, maana...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaj gari used Runx nyeus No D kwa anaeuza anichek DM nipo Dom.
1 Reactions
0 Replies
307 Views
Back
Top Bottom