MILIKI ARDHI KWA BEI NAFUU KABISA
[emoji95]Njoo ujipatie kiwanja kwa bei nafuu kabisa pia lipia kwa awamu mpaka umalize deni.
[emoji95]Eneo: Vikindu-Vianzi, na Kisemvule (Wilaya ya Mkuranga)...
Ni Property Investors Company (PIC) inauza Viwanja vyenye sifa zifuatazo:
[emoji736] Viwanja vipo Vigwaza Mkoa wa Pwani karibu na bandari kavu ya Kwala.
[emoji736]Vipo umbali wa km6 toka Vigwaza...
Kiwanja kinapatikana KITUNDA (mwisho)
Umbali wa km 3.5 kutoka pugu road
Umbali kutoka kitunda road (lami) meter 200
Unaweza kufanya project tofauti kulingana na Eneo na uhitaji wako.
Mfano. (...
Plot for sale in Zanzibar - Makunduchi:
Area : Makunduchi, opposite VETA college.
Document : Title deed
Distance: 1.5 kilometer from the beach (Clove Island Zanzibar Villas)
Location...
Kiwanja kipo Msangani, Karibia na zahanati ya Kibaha kwa Mathias Msangani.
Ukubwa mita 20 kwa 24
Milioni mbili na nusu
Km 6 toka Morogoro road
Umeme na maji vipo
+255 762 689 034
Kiwanja chenye ukubwa wa sq.909, kinauzwa, bei milioni 5.5
Kipo Nghonghona, kilomita chache sana kutoka Benjamin Mkapa Hospital, Dodoma. Kimepimwa. 0779017650
Kimewekewa beacon kabisa, very...
Shamba linauzwa Lipo kijiji cha Nambendo Songea, kilomita 100 kutoka Songea mjini, lina ukubwa wa ekari elfu mbili (2000) lina hati.
Shamba linafaa kwa mazao mchanganyiko kama utavyoona kwenye...
Habari ndugu,
Nawatangazia wadau wote kua ninauza kiwanja changu kilipochopo maeneo ya Kigamboni Kimbiji puna
Ni meter 150 toka barabara kuu facilities kama maji na umeme tayari vimefika
Kiwanja...
Mashamba yanapatikana kata ya mafizi, kijiji cha ving'andi na zipo zaidi ya hekari 300 zilizopimwa, Mashamba haya mazuri kwa kilimo na bei yake kwa kila hekari ni laki nne, 400,000/=
Maji...
Kwamahitaji yamashamba kwa ajili ya uwekezaji nitafute zaidi kwa namba 0763165384. Mashamba Yana miundombinu yote.napatkana mkoa wa njombe kata ya lupembe.
Karibuni mjipatie Shamba la eka saba na nusu kwa bei nafuu ya shilingi milioni 20. Shamba liko umbali wa kilomita tatu na nusu kutoka barabara ya lami ya Dar Morogoro. Shamba linafaa kwa ufugaji...
Nauza kiwanja changu ni viwanja 2 vya 50*40 vimeungana sawa na 100*40 kipo mipeko mbele ya kiwanja Kuna nguzo ya umeme na mpira wa kuunganisha maji
Bei 6000000 wasiliana nami kwa 0653057919
KIWANJA KINAUZWA, MBWENI DARE SALAAM
SIZE: 25m*25m
dakika 5 kutoka Bagamoyo Road
Miundombinu yote ipo na kumeshajengeka sana
Bei 8.million (milioni 8 tu za kitanzania)
Mawasiliano 0713096076
Karibuni mjipatie Shamba la eka saba kwa bei nafuu ya shilingi milioni 25. Shamba liko umbalinwa kilomita mbili na nusu kutoka barabara ya lami ya Dqr Morogoro. Shamba linafaa kwa ufugaji wa kuku...
Kiwanja kinapatikana chalinze, ni mita 20/16, ni karibu na barabara kuu ya Morogoro, na shule ya Pingo secondary, huduma zote zipo; umeme, maji ya bomba. Kiwanja kimepimwa na kipo ndani ya Mardi...
Mahali: Kisarawe Kijiji cha Gwata (Appr. 60 km toka Mlandizi)
Ukubwa: Ekari 47
Hali ya shamba: Limepimwa na lina hati ya kimila ya halmashauri. Shamba ni pori.
Bei : milioni 7 (saba) tu kwa...
Pata viwanja eneo la mbezi mzalendo kuanzia 10 kwa 10 sq meter 100 kwa shilingi mil 1 na laki 2. Pia kuna eneo lingine lina ukubwa wa 10 kwa 10 tofali 500 na nondo 10 kwa shilingi mil 2 na laki 5...
Njoo upate eneo la biashara lenye magorofa ya kutosha, haina udalali mmiliki ni mimi mwenyewe.
Hati ipo
Unaweza kwenda jiji ukamchukua surveyor mwenyewe mkaenda nae hata bila kuniambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.