Baadhi ya Orodha ya Vyombo vya Muziki na Vifaa vya studio tunavyouza vinavyopatikana Dukani kwetu.
Duka letu lipo Dodoma mjini, (Kizota) kituo cha daladala cha City jengo wanalouza bajaji za TVS...
Habari wandugu ,
Nauza. SEA PIANO (as seen) from pictures..
Mwaka wa manunuzi ni 2023 , inauzwa , full box..... BEI 150,000/= Bei NOW. 120,000/=
Inapatikana moshi. Mjini mtaa wa shana...
Kontena lipo Dar Mbezi Kimara
Ukubwa ni 40ft
Halina document
Unauziwa kwa mkataba na kampuni
0744757738
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Tunauza mashine mpya za kutotolesha vifaranga.
Mashine zetu ni mpya na zenye ubora wa hali ya juu. Kwa sasa tunauza mashine za kutotolesha mayai 1056 na mayai 528. Inatumia umeme wa 220V na power...
Habarini Wana JF.
Glass protector aina zote zinapatikana kwa bei ya shilingi elfu moja per item.
napatikana kivule dar es salaam ukihitaj nakuletea popote ulipo kwa dar es salaam.
Contact: 0753158943
Bei; 165,000 tu. 0683011003
Inafaa kwa kazi zote zinazofanywa na Projector
Kuonesha mpira
Kutazamia movie
Kusomea
Location: Ipo Tabata kisukuru Dar e salaam
Kinanda aina ya Novation Launchkey 49 MK2 kinauzwa. Kinanda hiki ni maalum kwa ajili ya Music Production tu. Kinanda hiki bado ni kipya na hakina hata mkwaruzo.
Kinafanya kazi na software zote za...
Habari,lengo ni kununua gari.
Nauza bajaji yangu aina ya TVS king. Haina tatizo lolote.
Ipo Dar Chamazi.
Kwa mawasiliano njoo PM
Bei milioni sita.(6,000,000)
Hii ni pasi inayotumia mvuke wa maji. Ni rahisi sana kutumia kwani haiunguzi nguo hata ukiwa na haraka. Kwa wale wenye maduka ya nguo za mitumba hii itawafaa zaidi kwenye biashara zao ila...
MASHINE NDOGO YA KUSAGA NA KUKOBOA (2 in 1) mahindi, mpunga, viungo vikavu nk
Mashine MPYA
Bei 1,500,000/=
Mashine ipo DAR
●Mashine ina pande mbili, upande mmoja ni wa kusaga na upande wa pili...
NAUZA DUKA LENYE VIFAA VYA WATOTO
DUKA LINA KILA AINA YA VIFAA VYA WATOTO NALIUZA (diapers, mafuta, toys, nguo, baby walkers, mabeseni, vitanda, midoli, chupa, n.k) LOTE KAMA LILIVYO DUKA LIPO...
Nauza printer in a miezi 2 tu bado mpya kabsa ndo nimeinunua juzi tu nilikuwa naitumia matumizi binafsi sio biashara.
Nimepatwa na shida sasa naiuza kwa bei nafuu kabisa 390 mwsho.
location...
1.NAUZA NEC PROJECTOR
MODEL V 260
MADE 2015
IMPORTED FROM UK
REFURBUSHED
LENZ HOURS 3000
PICHA 30 INCH HADI 150 HD
INA VGA,SVIDEO ,VIDEO , AUX
BEI NI TSH 300,000
LOCATION ROCK CITY
2 EPSON...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.