Sifa zao
- Wawe PURE BREEDS
- Wawe na umri usiozidi miezi mitano
- Wenye furaha na Afya tele
- Best medical care attention (record documents ziwepo for proof).
Mwenye nao na anayehitaji tufanye...
Habari wana jukwaa
Kichwa cha habari chajieleza,naomba kwa yeyote anayeuza mtungi wa gesi wa kilo 12 aniuzie.
Kama unao ni-pm pamoja na bei unayouza.
Mie napatikana Dar es salaam.
-Pata Digital Camera ufurahie kupiga picha na mpenzi,ndugu,jamaa na marafiki. pia inauwezo mzuri wa ku-record videos
-Brand: SONY (Brand inayoaminika zaidi worldwide)
-Condition: Used (in a good...
BlackBerry z10 inauzwa
Internal memory 16 GB
Camera 13 Megapixels
Front Camera 8 MP
RAM 1 GB
Ipo in very good condition haina tatizo lolote.
Bei 250,000 (Maelewano yapo)
Nipigie/nitext kwenye...
Habarini wanandugu.
Msaada tutani,ninataka kununua au niseme kuagiza gari aina ya BMW series 1 au3. Ninaomba ushauri kwa wenye uzoefu na magari haya yasiyo TOYOTA. Hizi gari zafaa huku kwetu...
Kiwanja kiko Makonde upande wa Bahraini karibu na kumbi za Sunset.
Kina ukubwa wa 1200 sqm, document zote zipo, hakijajengwa.
Bei ni Tzs 250m. Mawasiliano 0655550450.
Kwa wale wapenzi wa vitabu vya riwaya, kitabu chako cha riwaya ya kipelelezi kipo tayari. Mpaka sasa vitabu saba vya mwandishi BEN MTOBWA vinapatikana kwa bei ya shilingi 10,000 kwa kila nakala...
nafundisha graphics na animation:
Programs:
photoshop
illustrator
indesign
animation
maya
after effects
video editing
final cut
adobe premier
nakufundisha kwa vitendo, pia uhakika wa ajira...
PLOT FOR SALE
PLOT SIZE: 572sq
GPS CODES; LAT -3.384321 LNG 36.558426
LOCATIONS:
ENGORORA (Village), KISONGO (Ward), ARUMERU WEST (Province),
ARUSHA (Region), ARUSHA DISTRICT COUNCIL
CLOSE...
Nyumba 3 zinauzwa Mwanza bei 85ml
contact: 0768900863
Ziko katika eneo moja mraba 40 kwa 40 ziko Mwanza nyuma ya kiwanda cha Coca-cola karibu na mnada wa Ng'ombe.
Nyumba kubwa ya kwanza ina...
Nauza samsung galaxy s2 1777 ya kikorea kwa laki na 35..bei haipungui..ina gb 16 na 8 mp..ina betri 2..nipo kinondoni. .kama uko interested nichek 0718864384
Specification: Storage 8GB
Processor 1GB
Rear camera 13mp
front camera 5mp
imetumika miezi miwili na nusu, iko kwenye hali nzuri na inapiga kazi vizuri-haina tatizo lolote.
LOCATION: Dodoma...
Nauza Fuso tipper mignon engine 16 ipo katika hali nzuri tairi zote mpya,vibali vyote ni valid ukinunua unaanza kazi.Bei million 22 mazungumzo yapo.
Namba ya simu 0715/0754 472414
Je unataka kufanya TV advert labda kwa kufundisha jamii au kutangaza biashara yako? Wasiliana nami kwa namba hii 0786371108 tuzungumze
...
Tunafanya matangazo ya Animation pia so wote...
Shamba linauzwa Mwanzo mgumu Kisarawe mkoa wa pwani, lina ukubwa wa ekari tano bei ya kila ekari ni tsh 2,500,000 gari inafika mpaka shambani, maelewano pia yapo 0714621548