Habarini wadau, nauza kiwanja kipo Kata ya MAPINGA kijiji cha KIHARAKA mtaa wa SOWETO karibu na kambi ya jeshi MBWENI, huduma za kijamii zote zipo na kimeshapimwa tayar, Ukubwa 25x25..dk10 kutoka...
Kitalu ED
Matumizi ya kiwanja: MAKAZI NA BIASHARA
Ukubwa: SQM 2,400
Bei: 25,000,000
Kiwanja kinafaa kwa ujenzi wa HOUSING ESTATE
Kiwanja kipo mita 400 kutokea barabara kubwa ya kuelekea Dar es...
Kiwanja kinauzwa
Eneo: Kongowe Misugusugu-kibaha
size: 30*20 600square metre
Maji umeme vipo
Nusu kilomita kutoka lami ya Morogoro Road
Hati ya maandikishano ipo
Bei milioni 4.
0744033555...
Kiwanja kinauzwa Buhongwa mwanza mita 800 tu kutoka stendi ya daladala buhongwa.
Ukubwa ni Squaremeter 1200
Kiwanja ni tambalale na kipo barabarani kabisa, eneo limeendelea kwa makazi ya...
Nauza kiwanja kiko miembe sana kibaha , karibu na morogoro road , umbali ni kama nusu kilometa Yaani mita 600 hivi toka main road. kiwanja kikubwa mita 55 Kwa 26 . Bei ni 13m
Nina shida ya...
Wakuu habari zenu,
Ninauza kiwanja
- Size: Urefu FT 60 upana FT 105
- Kipo Kisemvule mtaa wa Machimbo Kidubwa, maarufu kama viwanja vya Ustadhi.
- Nyaraka nlionayo ni "Offer", kimepimwa na...
Kiwanja (20x40) Tsh 6.5M kimekaa Tambarale kabisa, kimezungukwa na makazi ya watu pamoja na huduma zote kijamii
Kiwanja hiki Kipo kiluvya makulunge karibu na zahanati ya makulunge upande wa...
Ni Property Investors Company (PIC) wanauza viwanja eneo la Pangani Mtakuja vyenye sifa: [emoji835] Viwanja vipo karibu na Barabara inayounganisha Kibaha na Vikawe.
[emoji835]Vipo umbali wa km 1.5...
Shamba zuri lenye ukubwa wa ekari 700 linauzwa.liko mkoani njombe tarafa ya Lupembe,kwani miundombinu yote iko sawa,na kila ekari ni laki moja na nusu kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa...
Shamba linauzwa ni beach plot liko Tanga sehem inaitwa AMBONI (mafuriko).
Shamba lina ukubwa acre 2 1/2, shamba liko mazingira mazuri kuna umbali usiyo pungua kilometer 1 sea level kutoka...
Kiwanja kizuri kwa ajili ya makazi kinauzwa Kinyerezi - Songas mbele kidogo ya mitambo ya kuzisha umeme ya Kinyerezi 1 na Kinyerezi 2.
Kiwanja kipo eneo la kishua (Kwa wale wanaopajua Kinyerezi -...
Kiwanja kinapatikana eneo la mbopo-madale ndani ya wilaya ya kinondoni mkoa wa Dar es Salaam.
Kiwanja hakijapimwa,ila kina hati ya mauziano kutoka serikali za mitaa.
Kiwanja kiko eneo zuri...
Habari Wana jukwaa
Hongereni na poleni kwa changamoto ngumu za ujenzi wa nchi.
Maelezo
Kiwanja kinapatikana wilaya ya ilala, Jimbo la Ukonga. Kata ya Kitunda
Kutoka Banana unapanda gari za Magole...
Ekali 7 zina parachichi za mwaka mmoja na nusu
Lina hati miliki
Maji yapo karibu
Kijiji cha Mfriga-Lupembe(Njombe vijijini)
Nusu kilomita kutoka barabara kubwa ya Vumbi
Karibu kwa taarifa...
Karibuni GOBA
Nnaviwanja 3 vinakaribiana GOBA Center Ni umbali wa dk 5 kutoka barabara kuu Hadi viwanja vilipo kwa pikipiki
1 hiki ni ML 7 kinamsingi wa nyumba vya vyumba 2 ukubwa wa eneo Ni sqm...
Kipo Kibaha kwa Mathias.
Ukubwa wa squire meter 600
Milioni 3
Umbali km 5 toka Morogoro road
Barabara nzuri imewekwa lami, bado kidogo ikamilike
Umeme na maji vyote vimefika kwenye kiwanja
0672...
Bestates Properties
Contact: 0786157788
Kinauzwa • TSh bilioni 5.5 (mazungumzo yapo)
Kina hati • matumizi ya biashara
Pia tunapatikana:
Facebook @BestatesTanzania
Instagram @bestates_tanzania
VIWANJA VIPYA JIJI LA DODOMA.
Viwanja vyote vimepimwa na vina documents zote,pia biashara zote zinafanyika kupitia Wanasheria.
NALA MIZANI.
NALA MIZANI.
Ukubwa ni Sqm 1000.
Bei ni Milioni 7...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.