Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ina vyumba 4, viwili master bedroom. Kiwanja kikubwa, square meter 1200 Umbali km 1 kutoka Morogoro road. Umeme na maji vipo Bei milioni 45
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Kama kuna mtu au wataalamu wa kupuliza dawa majumbani ninaomba tuwasiliane kuna wadudu wanakula mbao za dali ninaitaji sana kama yupo tuwasilane kwa kazi hii
2 Reactions
3 Replies
358 Views
Wateja wetu ambao mliweka oda ya incubator za body ngumu [hardboard] za mayai 120,528 hadi 10000 mzigo tayari umefika karibuni mifugo plus mjipatie wahi material ya sasa ni imara na magumu...
0 Reactions
0 Replies
482 Views
Kwa Dar es salaam kuna maeneo ambayo viwanja vinaweza patikana Kwa laki 3? Upimaji usiwe Kwa foot Tuseme mfano Kwa 20m Kwa 20m Kwa kuanzia. Kigezo eneo lolote ila iwe ndani ya Dar Wajuzi mtujuze📌
9 Reactions
97 Replies
3K Views
Habari wana Jf Je unateseka na simu yako sababu ya kioo? usikate tamaaa suluhisho limepatikana. Je bado unateseka na chaja yako kuharibika mara kwa mara. Sasa agiza na mi china kifaa original kwa...
0 Reactions
2 Replies
583 Views
Kama unamzigo wowote kutoka Congo na zambia. Mzigo wowote tunakuvushia upande wa Tanzania Kwa usalama kabisa. Nipo boda ya Tunduma. Kama una mzigo tunaweza fanya kazi. Muda wowote.
4 Reactions
20 Replies
882 Views
Habari za asubuhi wakuu. Nahitaji Kidney Beans kwa wingi. Mfanyabiashara au mkulima mwenye kidney beans ile kubwa anicheki tufanye biashara. Iwe safi na nene. Kwa kuanzia inahitajika tani 60...
0 Reactions
0 Replies
348 Views
KWA BEI YA 170,000/=TSH TU TUNAKUPATIA INCUBATOR YAKO YA MAYAI 30 . #SADAKALAWE ●SIFA YA MASHINE YETU YA MAYAI 30 ■Inageuza mayai yenyewe. ■Inamfumo wa kupima yai lenye mbegu. ■Inakuja na...
0 Reactions
2 Replies
806 Views
Nafanya clearing za mizigo ya aina yote bandarini. Mawasiliano: WhatsApp & Call 0652802379
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Wakuu Kwa sasa nahitaji kununua ardhi kuanzia hekari 4 Naomba kujua wapi napata ARDHI Kwa bei 150000 Hadi laki 2 kushuka hapo. Natanguliza shukrani kwako great thinker🏆
1 Reactions
2 Replies
415 Views
Habari wadau. Nimehatika kupata kazi hospital ya muhimbili hivyo nahitaji chumba na sebule maeneo ya upanga ofa yangu ni laki mbili kwa mwezi
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Natafuta chumba au nyumba iwe master, eneo la Makongo Juu karibu na sheli ya Oryx au iwe mbali kidogo na sheli hiyo lakin upatikanaji wa usafiri uwe ni wa huakika kwenye barabara inayopita katka...
1 Reactions
2 Replies
461 Views
NAHITAJI CHUMBA(MASTER) YENYE CHUMBA KIMOJA MASTER NA JIKO, KIWE NDANI YA FANCE IWE KINONDONI AU MWANANYAMAKA KARIBIA NA BARABARANI. NICHECK WHATSAPP 0659741342
2 Reactions
10 Replies
709 Views
CHUMBA MASTER MPYAA 💥💥 PIA KUNA CHUMBA MASTER NA SEBULE MPYA . LOCATION : TABATA KIMANGA. DSM (A) Chumba Master ya Kibachela Mpyaa -- Kodi 100,000 miezi 6 (B) Chumba Master na Sebule...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
FURSA YA ASALI KWA MTAJI WA CHINI YA 200K . Kwa kutumia laki na 70 (170,000) utapata yafatayo:- 1#. Pure Asali lita 20. 2#. Free Delivery to Magufuli stand kwa walio Dar. 3#. Free packaging...
3 Reactions
13 Replies
880 Views
Tamasha la Coca-Cola Food Fest limefanyika jana kwa ufanisi mkubwa katika viwanja vya St. Laurent Diabetes Center, Kawe, jijini Dar es Salaam. Tukio hili liliwaleta pamoja mastaa maarufu...
0 Reactions
1 Replies
406 Views
Isaack.artz mchoraji wa picha za penseli black and white, napatikana makongo juu,dar. Nafanyia kazi nyumbani. nAchora size ya A3,A2 na A1 karibuni 0712068462/0742083772
8 Reactions
21 Replies
1K Views
Najua humu ndani kuna wasanii kibao tu. Kazi hiyo hapo. Sijaimix wala kufanya mastering. Project yake ipo na final project pia. Nicheki PM kama upo interested.
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Hello wateja wangu wazuri[emoji4], Karibuni mjipatie cake nzuri,tamu,zinazopendeza kwa ajili ya matukio mbalimbali kama birthday, graduation, harusi, engagement kitchen party etc. Cake zetu bei...
15 Reactions
129 Replies
6K Views
Kama wahitaji laini za uwakala..unapata 4 ukiwa na laki 3 Vigezo ni Tin Number na Kitambulisho cha NIDA Napatikana Ubungo Kwa mawasiliano 0656652250
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…