Nimefuga kuku wengi wa kienyeji, ningependa kupata soko la uhakika hasa miji ya Dar, Moro na Dom.Naweza kukuletea mahali ulipo kwa order ya kuku wengi. Kuku wangu ni wenye afya na wamechanjwa...
Wadau natumai ni wazima,
Naomba msaada wa namna ambavyo naweza kupata mashine ya kuchimbia visima virefu hadi 200Metre,bei yake, na matumizi ya mafuta (petrol/diesel), pamoja na specifications...
Natafuta kontena futi 20, lakukodisha, baada ya mda naweza nikainunua kama utaitaji, pawe nauwezekano wakulihamisha, seham nyingine. nipo Dar es salam sinza. kwayeyote mwenye ufaham nitafute...
Kiwanja kinauzwa maeneo ya mjohoron karibu na mosh mjin kabisaaa, kipo karibu na barabara kuu ya mosh dar, kinafaa kwa matumiz ya makazi au biashara au ufugaji bei mil 35 hakina dalali
size: 20...
Mawasiliano, 0718887009, 0758266736 . karibu, kwa gharama hiyo utapata mzigo ulipo.
Hiyo ni bei ya jumla. Tunatuma mikoani kiwango unachohitaji. Angalia picha
Habar wanaJF. Natoa offer ya kumtengenezea yoyote anayetaka website kwa kutangaza biashara yako kwa urahisi. Usisite ku pm kama unahitaji website kwaijir ya biashara yako
Wadau nina mpwa wangu anatafuta eneo la kujenga makazi lenye ukubwa wa ekari moja lilio karibu na barabara ya Morogoro, kuanzia dar city hadi maili moja. Lisiwe la mirathi wala lisiwe na migogoro.
Mm npo kigoma huku border ya burund kuna kaduka nimefungya ila natka kuuza simu za kawaida not smartphone
Naomba mnifahamishe naweza kuzipata WAP ndan ya Tanzania hiie na nkiweza kuwekewa na bei...
Brandnew IPhone 5 for sale
Full accessories(No Box)
16GB Internal Storage
All are Silver in colour
Price 440,000
Contact 0784780955 or 0718942311(whatsapp)
Capacity mayai 704, ni automatic. Imetumika kwa miezi 5 tuu, bado Mpya. Inatumia umeme. Iliunuliwa kwa bei ya 2.2m, lakini kwa sasa kuna inauzwa 1.7m. Anayeuza ana family problem ya haraka...
Kipo katika hali nzuri kinafaa kwa biashara.Kutoka katika kituo cha daladala Magereza Unatembea kama mita 800..Kipo karibu na ofis za ccm...kwa mawasiliano zaid 0659663232..Bei mill 22maelewano...
Habar wakuu nauza freezer kubwa imetumika mwenz mmoja tu haina tatizo lolote sema ninahama kikaz bei ni 570k kama wataka kuna njoo Whatsap 0763772636 nipo Dar pia kuna Tv stand nayo IPO sokon bei...