Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Maongezi yapo,
0 Reactions
1 Replies
526 Views
Umeona wapi Galaxy S4 ikauzwa chini ya milioni 1? Nilishangaa sana nilipoona hizi galaxies zikiuzwa cheap sana mwanzo nilifikiri wanaiba ila sasa nimekuja kugundua kumbe ni za kichina ila mchina...
67 Reactions
284 Replies
120K Views
Karibuni ndugu jamaa na marafiki,nauza Nyumba mbili maeneo ya MBWENI Jirani na SHULE YA WATURUKI,iliyo na Fensi tayari ni 200M na hiyo ambayo haina Fensi ni 280M Napatikana kwa 0715011022
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Kwa dawa asili zenye uhakika
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna kiwanja kinauzwa 20 kwa 20 kipo mbezi ya Kimara Makabe, ni tambarare na ni kizuri sana Kama una wateja pliz contact Samahani nimekosa picha lkn unaweza kuja ukakicheki kama dalali Piga...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Ndugu wadau ninaa hisaa za crdb 1350 mwenye uhitaji anicheki pm.
0 Reactions
2 Replies
889 Views
Tunauza mayai ya kisasa kwa bei nafuu kabisa tunapatikana savey Dar es salaam bei yetu kwa sasa ni 6000/=kwa kila tray moja. Karibuni
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Jugset
0 Reactions
0 Replies
559 Views
Nauza jug set sh 25000 kwa atakae hitaji no 0656801596
0 Reactions
0 Replies
476 Views
Wadau heshima kwenu, Nahitaji pikipiki used aina yeyote iwe TOYO,SKYMARK nk. Iwe kwenye hali nzuri na inafanya kazi. Mwenye nayo na anaiuza na yupo ARUSHA anitafute kwenye namba 0752489529...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Nauza Mitsubish canter mayai, engine 4D34, cabin pana, chasis refu, study 6. Bei ni maelewano. Mawasiliano 0754269641 au kwa barua pepe : nanyukiinvestments@yahoo.com
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nahitaji pikipiki aina ya boxer kwa ajili ya kusafirishia maua na miche ya miti nipo Moshi ila hata mkoani twaeza fanya biashara 0621068486
0 Reactions
2 Replies
882 Views
Used Macbook Pro 15inches , model A1260 inauzwa. MacBook Pro (15-inche, 2.4 2.2 Ghz) Processor 2.6Ghz Intel Core 2 Duo Memory 4 GB 667 Mhz DDR2 SDRAM Graphics NVIDIA GeForce 8600 GT 256 MB...
3 Reactions
0 Replies
844 Views
Ninasambaza bidhaa za afya na udafi zenye sifa zifuatazo:- CARE:- Hii ni bidhaa maalum kwaajili ya mambo yafuatayo:- - Inatibu kuku magonjwa mengi hasa KIDELI - Inatibu fangasi sehemu za siri na...
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Tunatengeneza motor zilizoharibika... Generator.... Pump za maji na kusuka invetor kwa gharama ya kawaida kabisa tunapatikana Kirumba Mwanza jirani na uwanja wa CCM kwa mawasiliano piga Namba +255...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa kiasi cha shilingi 255,000/= Ina miezi miwili, headphone zake kubwa, charger screen protector ya kioo kifupi ipo katika hali nzuri ni pm kwa maelezo zaidi, napatikana dsm
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Habari zenu, Tunapenda kuwajulisha watu wote kua sasa tunatoa huduma za kukusaidia kukata kujua taarifa mbalimbali za mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani, meli pamoja na ndege. Unachotakiwa...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza vyombo Kama hot pot, chupa za chai,sufuria,dinnerset,tray,sahani za udongo na mfupa n.k. Kama hii chupa 15000 tu ukihitaji vyombo Aina yoyote nicheki whatsap number 0656801596 zaid nicheki...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza tabket yangu ya itel it 1702 imetumika kwa mwezi mmoja tu bei laki na nusu kwa wenyeji wa kanda ya ziwa tuwasiliane kwa namba 0753868912 na nita poat specification zake baadae kidogo pamoja...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wapendwa nipo Iringa nahitaji kununua pampu ya maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji. Hivyo naomba mnisaidie bei zake na nisehemu gani nitapata kwa urahisi na ni aina gani ni imara. Hasa...
1 Reactions
2 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…