Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nimetumia miezi miwili tu Iko full box Bei: 17,5000/- TZS nimenunua 270,000/- TZS +255676095799
1 Reactions
42 Replies
3K Views
Iphone X 64gb Face ipo Battery 100 Power button haifanyi kazi 0743586474
1 Reactions
5 Replies
475 Views
AVAILABLE BRAND NEW ๐—š๐—”๐—Ÿ๐—”๐—ซ๐—ฌ ๐—”๐Ÿญ๐Ÿฐ ๐Ÿญ๐Ÿฎ๐Ÿด๐—š๐—• | ๐Ÿฒ๐—š๐—•๐Ÿ“ฑ ๐Ÿ”—Brand New ๐Ÿ”—Mixed Colors ๐Ÿ”—Dual Sim โœ”๏ธ โœจ๐—ง๐—ฆ๐—› ๐Ÿฏ๐Ÿญ๐Ÿฌ,๐Ÿฌ๐Ÿฌ๐Ÿฌ/= ๐Ÿ’ฐ ๐Ÿ“Kariakoo, Magila & Likoma,Opposite KKKT DMP Call / Text +255 714 981607 โ˜Ž๏ธ 24 Months...
0 Reactions
1 Replies
356 Views
Wajasiriamali tunawakaribisha mashine ya kukausha vitu mbalimbali kama samaki,dagaa,mboga,matunda au nyama. Tunaitengeneza hapa hapa katika ukubwa tofauti kutokana na hitaji la mteja. Mashine hii...
3 Reactions
27 Replies
5K Views
Hii ni zaidi ya Offer.!! TV nchi 32 Showcase King'amuzi cha Azam chenye malipo ya mwezi na Dish lake. Saboowfer Cables zote. Vyote 400,000/=
3 Reactions
8 Replies
770 Views
Wakuu poleni na majukumu, moja kwa moja kwenye point, niko Mkuranga nahitaji Pool table, mwenye ufahamu ni wapi naweza pata na gharama zake nitashukuru mno. Nawasilisha nikiambatanisha na shukran.
2 Reactions
7 Replies
561 Views
Habari ya uzima. Kwa MTU yeyote au Kampuni inayohitaji huduma ya usafirishaji mizigo , Local cargo au transit cargo , naomba tuwasiliane . Tunayo Magari Aina ya flatbed pamoja Tipper Haya...
3 Reactions
6 Replies
496 Views
Habari wakubwa!!! Nahtaji kujua bei ya mashine ya kuprint mifuko ya mazao kama Michele mpunga mahindi unga nk na mawasiliano kama Kuna Mtu anajua
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Wadau! Sikuwahi kuwaza Kama ningekuja kuwa mfanyabiashara siku moja. Lakini hakuna ajuaye kesho. Ok nilihitimu Udsm 2019 tangu hapo sijawahi kupata kazi yeyote yakulipwa kutokana na elimu...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Nauza hii freezer ya West Point inagandisha barafu na umeme ukikata inaweza Kaa masaa 12, haina shida yoyote, inapatikana kijitonyama dar es salaam. Bei ni 300,000. Oven 80,000 Deep fryer 100,000
1 Reactions
4 Replies
640 Views
Halina shida yoyote ni 100% Msasani bei ni fixed 380k aipungui, hivo hakuna maongezi please๐Ÿ™ +255685909105
2 Reactions
7 Replies
635 Views
Karibuni sana vunjabei mtumba grade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 kutoka China Dubai uturuki Canada Tuna balo za nguo aina zote kama Gauni jeans suruali Koti blouse skirt tshirt jeans...
0 Reactions
2 Replies
914 Views
Habari wadau! Kwa mnaoguswa na tozo kama mimi poleni sana. Naomba kuutaarifu umma kwamba niko njiani kuingia kwenye biashara ya nguo za mtumba. Nimedadisi kiasi fulani nikaona nguo za mtumba ni...
5 Reactions
6 Replies
4K Views
Solar water pump, zinapatikana kwa bei ya punguzo. Ili kujua bei na pampu inayokufaa tupe maelezo yafuatayo -Aina ya chanzo cha maji. -umbali toka chanzo hadi maji yapohitajika kufika. -mwiunuko...
2 Reactions
9 Replies
927 Views
Natafta posi ya kununua ya benki za CRDB na NMB kwa yeyote atakua nazo naomba anitafte inbox tufanye biashara
1 Reactions
8 Replies
746 Views
Wakuu naleta uzi huu mimi ni mkulima wa bamia nipo Dar es Salaam nauza kwa bei ya shambani kama utakua mfanya biashara wa bamia au unafahamu madalali wa kununua mzigo kwa bei ya shambani au masoko...
4 Reactions
11 Replies
899 Views
Habari Kulingana na mahitaji ya furniture za mbao na chuma katika mazingira yetu ya kazi, ofisini, mashuleni, vyuonI, taasi mbali mbali na majumbani Sisi kama wabobezi na watengenezaji wa haina...
0 Reactions
3 Replies
961 Views
Wakuu kuna dada mmoja anajihusisha na uuzaji wa simu za Infinix ila simkumbuki na uzi wake sijaupata humu jf. Hivyo kama bado anaendelea na huduma hii naomba tuwasiliane. Nawasilisha.
1 Reactions
3 Replies
477 Views
Mwenye huitaji wa hii kitu, wapenzi wa radio za zamani
4 Reactions
34 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ