Ninauza mbao za miti aina ya pine kutoka Iringa za size zifuatazo: 1 kwa 10, 1 kwa 8, 2 kwa 6, 2 kwa 4 na 1 kwa 6. Na urefu wa futi 12.
Kwa mahitaji yako ya mbao kwa jumla na reja reja kwa Dar es...
Habari wana jukwaa,sisi tunajishughulisha na uchimbaji wa visima pamoja utafiti wa maji ( ground water survey ) kwa bei rahis.
Tunachimba kwa shillingi elfu sitini kwa mita moja na tunaweka pampu...
Natanguliza salamu kwenu wanajukwaaaa...............
nafikiria kuanza biashara ya kuuza cd za movie ambazo maarufu sana dar sehem za uswahilini uzikosi hizi zile wanazoita feki ambazo zinzpgwa...
Sony Xperia Z3 ambayo ina mwezi 1 tangu kuinunua inauzwa bei ni 400,000 napatikana kigamboni, sifa za simu ina 16 gb ROM na RAM ni 3 gb, ina 21 megapixel camera, marshmallow android version, kwa...
Habari wakuu, natafuta chumba kimoja cha kupanga kwa dar, kiwe na umeme, choo na bafu kwa nje kwa ajili ya wapangaji.Mwenye chumba aweke bei hapa.Aweke bei kwa mwezi itakua bei gani. Nipo serious...
Brand new!!
Series: 5
Model: J5100
Full HD 1920 x 1080 resolution
Clear motion rate 100
Wide color enhancer
Connect share USB
connect share HDD
connect share TRANSFER
sound out 20w
Story replay...
Za Jumapili ndugu zangu?
Kwa Jumapili ya Leo ningependa kuwajulisha wale wote wajasiriamali kuwa ile Kampuni iliyojitolea kudhamini, vikundi vya wakina Mama, au vijana ili kuweza kupata Mikopo...
Natafuta frem ya biashara nataka kuuza vifaa vya umeme pamoja na vifaa vya ujenzi frem iwe kati ya kimara Korogwe adi kibamba frem iwe nzuri na sehemu ambazo kuna watu wengi na pia eneo ambalo...
2 master bedroom/ 2 bedrooms, /dining/ sebule/ corridor/ praying room/ na server quarter za master mbili nje,
square meters 498, kusima cha maji fresh
Bei tsh mil 100
Eneo: mikadi mtàa wa magogoni...
Super clean IPhone 5 for sale
Used for one day
Original and Full Boxed with Original New Accesories
16GB Internal Storage
Silver in colour
Price 360,000
Call 0784780955 or whatsap 0718942311
Kutoka blog ya Bongo5 Kitu pekee kinachoweza kuwapendeza wapenzi wa muziki kuhusu toleo jipya la Tecno Phantom 6 au 6+ | Bongo5.com
TECNO Phantom 6 kuzinduliwa karibuni inakuja na iafoni...
Habari za siku nyingi wana JF
Nataka kupack bidhaa za chakula, hivyo basi natafuta mtaalamu wa kutengeneza stixkers ili nibandike nembo na maelezo ya vidhaa zangu kibiashara. Kana uko tayari piga...
Hii ni maalum kwa shule za *Secondary*, *Taasisi*, *Mtu binafsi*, *Company* N.k njoo nikutengenezee vitambulisho vya *PVC*
*(polyvinyl*
*Chrolide)* kwa wasiofahamu zile ID zinazofanana na Card za...