habari zenu. Mwenzenu nimeamua kujiajiri kwa kufungua saluni ya kike. Nasuka na kushonea weaving mitindo yote. Pliz wadau wa arusha karibuni sana jamani mniunge mkono mwenzenu. Kwa mawasiliano...
Jifunze computer programming,web development skills kwa bei nafuu,pia page development tutorial,na pia kupata vifurushi vizuri vya internet.Piga 0759124378
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji moja kati ya gari hizi
Toyota vitz, Old au New model
Suzuki swift Old au New model
Mwenye ist na rastic anakaribiswa
bajeti yangu ya 5M...
Kwa wakazi wa Dar....
Jiko la gesi plate mbili (Hotpoint), mtungi wa kg30 na pipe yake pamoja na meza yake vyote nahitaji 100000...mzigo upo tegeta piga 0783350399 kama unahitaji...
Tunasafisha masofa pamoja na sity za magari, makpti(mazuria) Tunakufata ulipo(nyumbani, officine) kukufanyia kazi yako, kwamawasiliano call, 0655556426 ata whathp👉
Kuna mzigo wangu wa maharagwe ninazo Kg 600 nauza kwa bei ya Tsh 1800.
Usafiri Utalipia mzigo Upo Kasulu Kigoma.
Ni maharagwe mazuri yaliyovunwa Mwaka huu.
Follow this link to join my WhatsApp group: MAFIA ISLAND FESTIVAL
Hili ni kundi maalumu kwa ajili ya kuunga mkono jitihada za Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan za kukuza utalii na uwekezaji nchini...
Natanguliza shukrani za dhati kwa waasisi na wadau wote wa ukurasa huu.
Tunatengeneza oda mbalimbali za unifoms za kufanyia kazi.
Naomba kuwakaribisha sana kwa oda mbalimbali, bei zetu ni...
Habari wakuu.
Natafuta chupa za plastik hizi za kijani kubwa na ndogo,naomba maelekezo ya kiwanda maana nahitaji kwa wingi na biashara endelevu.
Piga 0713 039 875
Ulikuwa ni wakati mzuri kupata nafasi ya kutembelea Hifadhi ya Taifa Ruaha (Hifadhi ya Pili kwa ukubwa Tanzania)inayopatikana ndani ya mji wa Iringa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Uhasibu...
Karibu kwenye safari ya kusimumua ya kutembelea fukwe za, The Horizon ndani ya mji wa Bagamoyo ikiambatana na kusherehekea sikukuu ya Christmas, ikitukutanisha wadau kutoka kona mbalimbali...
MAHITAJI YA BIDHAA ZA UBORA MADUKANI!
Ndugu Mfanyabiashara,
Tunapenda kukuletea bidhaa bora kabisa kwa ajili ya duka lako. Tunazalisha na kusambaza bidhaa zifuatazo:
Mafuta ya Nywele ya Asili...