Habari wakuu.
Kama kuna mtu anamiliki Apartment.
2/3 Bedrooms.Inayouzwa
Maeneo,Upanga,Masaki,Mikocheni,City Centre,Kariakoo maeneo Salama.
Njoo Pm Offer
Tunakujengea na kukukabidhi Nyumba hii kwa
*** Tshs. 32.20 Millions tuuu!
*** Ndani siku 50 kwa Makubaliano
+255 657 685 268 - "Ni Haki Yako Kuishi Nyumba Nzuri na Salama!"
Specifications:
*...
Wadau nina simu yangu aina ya SAMSUNG MEGA PLUS kubwa, Nyeusi nimeitumia miezi 6 tu tangu itoke kweny box lake,
Sasa Nimepata shida kidogo y kuhitajika kuitatua kwa haraka na hapa sina kitu...
Salaam Wana JF
Wakuu nahitaji kupata soko au mtu ambaye ananunua simbi kwa wingi sehemu yoyote ile nitampelekea.
Simbi ni miongoni mwa bidhaa za baharini ambazo hutumika kutengenezea vyombo vya...
Natafuta kazi ya udereva leseni yng ni A. B. C. C1. C2. C3. D. E. F. G nipo dar es salaam Tanzania ajira ni ngumu wakuu naitaji mtu wa kunisaidia nipate kazi Hata kumuendesha mtu fresh tu
Hi,
Kwa yoyote anaetaka bidhaa za (wholesale only)
1.Disposable cups, mifuko, plates (hizi bei zake ni tofauti kulingana na size)
2.Baby diapers
-Pcs 34,36,38;
-5 paket in 1 cartoon for...
Nauza hio laptop hapo tatzo n motherboard/mashine ilipiga shot, mpk inakufa ilitumia kwa miez nane, inauzwa kwa 250k top.nipo dodoma mjini, picha hizo hapo