Taa ya kuua Mbuu Na Wadudu mbalimbali
Ni Ya Kuchaji
Inaua Mbuu Na Wadudu mbali Kwa Shoti Maalumu
Haina madhara kwa binadamu,
Ikishachajiwa na kuwa full chaji inaweza tumika masaa 48
haina gharama...
Ninauza furniture za ofisini, Meza 3 yaani Executive desk 1, Conference table 1 (ya watu 4), na reception table 1, Viti 7, vyote hivi bado viko katika hali nzuri.
Pia kuna Curtain blinds mbili...
S 300 smartwatch
💶90000 tsh
⌚️Mikanda 7
⌚️Earpods
⌚️Protector
⌚️Unaweza kupiga n kupokea simu
⌚️Unaconnect kwa bluetooth
⌚️Inakuja complete n manual n charger
🏃🏽♀️Inafaa kwa mazoezi
📱unapokea...
Viatu vya aina zote karibu uchague unachokipenda then ntakufikishia popote ulipo ndani ya Dar es salaam kwa garama zangu mwenyewe.
Kwa walio Dar es salaam nakuletea free na mikoani unatumiwa kwa...
Kama uzi unavyosema, nimehamishwa mkoa kikazi nauza vitu vyangu vyote vya ndani; sofa, friji, kitanda, magodoro, TV, meza ya TV.
Vitu vyote vipo Kigamboni Kibugumo.
Sofa 200,000
Tv solarmax 32"...
Habari wadau.
Deki ipo Dar, faida nyingine ya deki hii ni kwamba inayo amplifaya ndani yake , kwa hiyo unaweza kutumia kama amplifaya na radio kwa wakati mmoja.
Bei : 130,000
Mawasiliano ...
Ni muhimu kuwa na machine hii ya kupima pressure kwako na kwa familia yako..unaweza ukawachukulia hata wazazi wako itawasaidia sana.
Sifa zake: inakupa vipimo vya uhakika, Rahisi kutumia na ivo...
Hp ni 130a Laser Jet Mpya 450,000 Full Catrage
Epson ni L3110 Full na wino wake, imetumika kidogo nyumbani 350,000
Hiti Passport Printer 100,000
Bei zote TZS 700,000
Zipo Mwanza nauza maana...
Habari wadau, nimefunga biashara yangu ya Stationery hivyo nauza wino zilizopo.
CE0505A - 05A Black kwa HP 2035 na HP 2055 Bei ni 180,000 kila moja zipo 3.
C-EXV 33 Black kwa Canon Image Runner...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.