Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

zote kwa pamoja 350,000tsh Location Mawasiliano ubungo Call 0698248323 ✅kubwa peke ake 200k ✅ndogo 150k wahi tumalize biashara.🙏
1 Reactions
0 Replies
253 Views
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Mbiu. Sifa za Nyumba: *Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga. *Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
mfumo wa VFD SYSTEM ni mfumo wa utoaji receipt za tra ambao ni mpya na ushaanza kufanya kazi Tanzania ambao mfumo huu mfanya biashara ataunganishiwa kwenye simu yake au computer kwa kufanya...
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Kwa mwenye nayo na yenye nyaraka halali naomba anicheki inbox tuyajenge. Shariti iwe TVS hlx 125, Haujue express 125 au honda cb 125. Yenye usajili D/E... njano itapewa kipaumbele zaidi.
0 Reactions
0 Replies
313 Views
  • Poll Poll
Mitsubishi Canter (EHP) Tani 2.5 Inauzwa TZS. 35m . Full AC 2830cc Manual Diesel Gari ni mpyaaa . Bei: TZS. 35m . 0717 650800
2 Reactions
51 Replies
3K Views
Ndugu wa Wana Jamii forams, habarini za za Leo? Kama nilivyo taja hapo juu , eneo liko Makambako. Km 12 Toka stand kuu y a Makambako. km 4toka barabara ya kuelekea Songea. Ukubwa acre 4 Bei...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna mashamba matatu ya miti ya Mbao jamii ya pines ( pinus patulla), miti ina umri wa miaka 12 na 13. Miti hii iko kijiji cha Chogo Mufindi, ni 100km toka Mafinga kwa njia ya Ibwanzi, au 120km...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa Mbeya mjini sq 1500. Ina vyumba vinne vya kulala, vyumba 2/self contained room, jiko sebule na stoo. Pia kuna vyumba 5 vya nje na jik
1 Reactions
6 Replies
616 Views
Nyumba Inauzwa Tabata. Mahali: Misewe B, Liwiti. Sifa za nyumba: • Ina vyumba vya kulala 3 na master 1. • Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo. • Ina korido kubwa ya ndani na...
2 Reactions
7 Replies
620 Views
** Nyumba inauzwa katika eneo la Ukonga, Dar es Salaam. Ukubwa wa Kiwanja: 885 mita za mraba Hati: Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki Vyumba: Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, na sebule...
1 Reactions
1 Replies
520 Views
Kiwanja kina ukubwa wa sq 1500. Ni eneo zuri kwa uwekezaji, appartment,kuishi,ofisi nk. Bei. Tshs. 600m. Mazungumzo yapo. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!!
2 Reactions
3 Replies
364 Views
Viwanja vinauzwa Goba kulangwa Viwanja vimepimwa hati bado. Kutoka lami Kilometer 1.5 Viwanja vina ukubwa tofauti tofauti. Vipo vichache *SQM 1,000 mil 45 *SQM 800 mil 36 *SQM 700 mil 32 *SQM...
1 Reactions
2 Replies
517 Views
Shamba linauzwa Nanyara Mbeya haliko mbali na barabara, kila eka. @4m, mazungumzo yapo. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!
1 Reactions
1 Replies
304 Views
Habari za humu? Kwa wale wanaohitaji line za Safaricom zimefika TZ karibuni sana mana huwa zinakuja chache na kama zikiisha huwa zinachukua kuja tena(wahi sasa) Line 1 ni 10000 ikiwa na vocha ya...
8 Reactions
313 Replies
50K Views
Hello wanajukwaa, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi. Mimi...
11 Reactions
144 Replies
20K Views
Nahitaji fundi wa kunifungia sub meter ile ya kuweza kutumia umeme wangu peke angu... Nipo dar gongo la mboto... Mawasiliano njo pm chap
2 Reactions
6 Replies
510 Views
Natafuta magari 7 ya kukodi kwa ajili ya Biashara ya Taxi mtandao kwa jiji la Dodoma. Mawasiliano haya 0765777196. Malipo kwa wiki bila kupindisha Tsh 150,000/=.
1 Reactions
6 Replies
554 Views
Tank la maji linahitajika kama kichwa cha habari kinavyoonyesha.
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…