Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

mwenye information yoyoye ya upatikanaji wa quartz sand anijuze jamani hapa TZ Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
838 Views
Wewe ni mkaazi wa Dar Es salaam ? Unahitaji huduma bora ya masaji au escort ? Kama jibu ni ndio basi hii ni habari njema sana kwako. DAR MOBILE MASSAGE AND ESCORT SERVICES AGENCY ( DAR...
0 Reactions
122 Replies
48K Views
Natafuta motherboard aina ya Pinetech Smart Tv inch 43..Tv yangu haioneshi picha lakini sauti inaingiza. Mwanzo ilianza kwa TV kuzima na haikuwa inaingiza moto lkn fundi alifanikiwa kurudisha Moto...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sifa ya kiwanja. Kiwe residential Ramani ya wizara ambapo gps zake inaonyesha residential.AU KIMEPIMWA KINA OFFA ISIYO NA MGOGORO NA WANANCHI. Kisiwe bondeni. Ukubwa kuanzia sqm 800.
2 Reactions
0 Replies
819 Views
Kwa wauzaji walio serious au kwa wale wanao jua bei ya vitu hivi bila kuibiwaa naomba msaada wenuhilo jiko la gesi bei yake na nitapa wapi pia na huo mtungi wa gas Msaada tafadhari Nipo Dar!
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Nauza kiwanja kwa bei nafuu sana kipo maeneo ya chanika standi daresalaam kina urefu wa nusu hekari. Hakina mgogoro, kina hati miliki zote kipo mjini kabsa namba zangu 0712268339 Karibu...
0 Reactions
1 Replies
925 Views
Eneo linapatikana Temeke Usalama njia ya kwenda Mwembeyanga Plot.namba 26,lina ukubwa wa Sqm 465,mtaa wa evaret kwa bei ya Sh.milioni 450.Eneo ni zuri sana na kwa sasa linatumika kwa ajili ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naiuza iPhone 6 yenye 128 gb kwa tsh laki 7 tu, location Dar es Salaam. Phone condition: Good ipo na finger print pia Bei ni fixed haipungui Kwa seriously buyer tafadhali ni PM haina tatizo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Kuna mama mmoja ameniomba nimtafutie mwamvuli kwa ajili ya kumkinga na jua katika biashara yake anayofanyia pembezoni mwa barabara, kutokana na majira ya sasa jua kali. Kwa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, natafuta battery ya iPhone 4s. Ya kwangu haikai na chaji sana. Yeyote anayeweza kuwa anauza battery mpya ya iPhone anapm.
0 Reactions
5 Replies
990 Views
Chicken layer cages mpya na imara zaidi Cage yenye uwezo wa kuchukua vifaranga idadi 400 ni 460,000/-Tshs. Cage yenye uwezo wa kuchukua kuku wa mayai idadi 128 ni 1,300,000/-Tshs Cage yenye uwezo...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Bei ya mashine ya EEG na Phototherapy machine
0 Reactions
0 Replies
709 Views
Vitu vinauzwa, Mzani wa 10kg mpya na Mawe yake 110000/= Binding machine 80000/= Printer 60000/= Vyote vinapatikana gongo la mboto Mawasiliano: 0625 561339
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nauza suzuki swift ikiwa kwenye hali nzuri sana na sifa zifuatazo -Gear automatic -Full AC -Power windows -ina Km 127,000 -haijawahi kupata ajali yoyote kubwa wala kupigwa rangi bei ni mil 4.5 na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Coaster mbili kwa ajili yaa kukodisha kubeba wanafunzi zinahitajika route ni kinyerezi to kimanga asubuhi na jioni Yenye rangi ya njano itapewa kipaumbele zaidi na kama haina rangi ya njano...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Asalam wakuu Mwenye kingamuzi cha AZAM na anahitaji DSTV tuwasiliane tubadilishane. DSTV yangu bado mpya ni 2 month tangu kimenunuliwa utapewa na dishi lake complete kabisa.. Karibuni sana
2 Reactions
32 Replies
5K Views
Je unatamani kua mweupe? Yaani mwili mzima kua na rangi moja njoo tukuhudumie Igiha lightening body cream ndio mwisho Wa matatizo itakufanya uwe mweupe mwili mzima bila kukuachia sugu inaondoa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
itel Mobile ni kampuni ya masuala ya teknolojia na uvumbuzi ambayo imejikita hasa kwenye masuala ya utengenezaji wa simu tangu ianzishwe mwa 2007. Kutoka mwaka 2007 mpaka sasa ni miaka 10...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…