Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari , napatikana Kisarawe Pwani , kama kichwa cha habari kinavojieleza , kwa aliekua na bunduki ya HALALI, tukutane inbox
0 Reactions
12 Replies
683 Views
Wakuu salama? Kuna nyumba nauza haijakamilika natafuta mteja. Nyumba na kiwanja vipo DSM kama kuna mteja serius karibu PM kwa taarifa zaidi. Eneo: mbezi makabe mpakani, kiwanja kina 45x45sqm...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Wana jamii forum Kuna watu wanauza mashamba morogoro eneo linaitwa bwanani karibu na bar inaitwa MV mapenzi.. Ukifika mkundi mwisho unaelekea mashariki. Je maeneo hayo ni salama kwa kununua. Au...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Jinsi Kutengeneza Kipato Endelevu Kwa Ukodishaji Wa Mashamba Kwa Wakulima Hapa Tanzania Kutengeneza kipato endelevu kwa kuwakodishia mashamba kwa wakulima ni fursa nzuri ya biashara kwa wale...
1 Reactions
1 Replies
680 Views
Kuna mashamba yanakodishwa Sumbawanga vijijini yanafaa kwa kilimo hasa cha mahindi. Mvua ni za uhakika . Matayarisho ndio yanaanza sasahivi mwezi wa kumi. Garama ni laki moja kwa ekari moja...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Wana JF habari za Jumapili , ikiwa una tatizo la mapengo unaweza tabasamu upya kwa kuwekewa meno bandia ya kudumu kwa gharama rafiki Tazama jinsi mama wa miaka 67 alivyotabasamu kwa mara ya...
3 Reactions
13 Replies
841 Views
Bei zetu kwa upande wa brand ya CENTARA . 1 - 315/80 R 22.5 - Tyre la mbele Price =465,000/= (highway) - Mixer (Trailer) Price =460,000/= Diff (kashata kubwa) price =510,000/= Diff kashata...
2 Reactions
4 Replies
560 Views
Habari wakuu. Eneo Kwajili ya Gas linauzwa GOBA Hapo unaweza kufungua kituo cha Kuuza Gas. Ewe mwekezaji fumba macho ununue hili Eneo. Sqm 2000. Kwa mawasiliano Zaidi 0754693556
2 Reactions
4 Replies
440 Views
Katika kitabu hicho, waandishi wamejikita kujibu swali linaoulizwa mara kwa mara la Israeli inatuhusu nini sisi Wakristo? Kuna ulazima gani wa sisi kujifunza na kuifuatilia Israeli? Na je, Israeli...
0 Reactions
14 Replies
924 Views
PANORAMIC SUNROOF ELECTRIC SEATS CC2990 ⛽️DIESEL PUSHTOSTART KEYLESS ENTRY LEATHER SEATS WHITE AUTOMATIC BLACK COLOR RIMSPORT FOG LIGHTS PRICE: 145,000,000 + REGISTRATION.
6 Reactions
29 Replies
1K Views
Kama unauza au unajua mtu anauza Microfinance yenye vibali vyote tafadhali wasiliana nasi kupitia 0765042935
3 Reactions
9 Replies
676 Views
Wadau ninataka kununua TAA za kushika mkononi za SOLAR kwa ajili ya dharura pindi umeme unapokatika. Naomba ushauri ninunue AINA GANI maan nyingi ni Vimeo. Nahitaji itakayowaka muda mrefu ikiwa...
0 Reactions
0 Replies
337 Views
Nyumba yenye ukubwa wa almost sqm 300 inauzwa Kimara Matosa: LOCATION: KIMARA KWA KOMBA KAMA UNAENDA MATOSA 4 BEDROOMS HOUSE 3 BATHROOMS 1 SITTING ROOM 1 DINNING AREA KITCHEN STORE PARKING...
1 Reactions
6 Replies
770 Views
Habari za wakati huu wakuu, Napenda kuwataarifu kuwa wafugaji wa samaki aina ya Tilapia pamoja na wafugaji wa nguruwe tuna vyakula hivi dukani kwetu. Chakula Cha samaki vipo kwenye makundi...
2 Reactions
2 Replies
549 Views
Drywall ndio habari ya dunia kwa sasa hasa katika kuta za ndani. Drywall sio mbao ni madini ya gypsum yaliyofungwa ndani ya karatasi nzito. Drywall ina faida zifuatazo: - Ina unafuu wa bei. -...
6 Reactions
103 Replies
24K Views
Habari wakuu Nahitaji gari ya mkononi kwa bajet ya mil 10 Aina ya gari Nissan dualis Rumion Crown Kama unayo Moja katika hizo basi naomba weka namba yako nikupigie chap tufanye biashara
1 Reactions
13 Replies
760 Views
Nyumba ipo Pongwe Tanga * Rooms 3 kimoja master *Sebule *Dinning *Open Kitchen *Public Toilet Price milioni 40 piga simu kwa maelezo zaidi 0623646940 / 0679991114
2 Reactions
8 Replies
617 Views
Hiace Inauzwa milioni 30 ( Maongezi Yapo ) Piga : 0614502969
1 Reactions
3 Replies
430 Views
HATIFUNGANI/BOND/AMANA Ni aina ya dhamana inayotolewa na serikali au kampuni kwa lengo la kukopa fedha. Mkopaji anaweza kuwa serikali au kampuni na anaekopesha ni mwekezaji. Mwekezaji anaponunua...
8 Reactions
11 Replies
2K Views
Ebhana watu wa JF nawasalimu kwa Heshima ya Jamhuri ya muungano wa Taifa letu Nina biashara nahitaji kuuza hili kabati langu la vioo, Na nimelipenda sana ila dah kuna madogo wawili wamekuwa...
1 Reactions
5 Replies
464 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…