Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ipo katika hal nzur inatumia solar power bei ni Tshs milioni moja Mawasiliano 0789 885802
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nauza dish la startimes na kingamuz chake nipo mbezi mwisho dar es salaam .mawasiliano 0715831272 au 0757896429
0 Reactions
4 Replies
923 Views
Natafuta cable kama hii hapa chini kwenye picha. If you have it tuchekiane PM
0 Reactions
0 Replies
705 Views
nauza bb paspot 32 gb haina tatzo lolote,nashida na pesa 0756664797.
0 Reactions
0 Replies
549 Views
KUJUA HERUFI YA JINA LAKO LIPO WAPI KATIKA MVUTO WA KINYOTA .Naam ni yule yule kijana mwenye kipaji cha kuwaadhibu majini vile atakavyo mwenye uwezo wa kutoa majini vichwani mwa watu na...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari Friends. Natafuta infinix zero 5 au infinix zero 5 pro Niko dodoma. Muuzaji awe kokote,mkoa sio kigezo 0767833496 0658605358
0 Reactions
54 Replies
7K Views
Samahani waungwana naombeni msaada wenu juu ya wapi tawapata mbuzi wa Maziwa na wastani wake wa bei kwa majike na madume
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nipo tegeta naitaji kwenda posta samora tra .kama kuna mtu ana uber tax naitaji huduma now weka namba nikupigie
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Aina: Boxer BM150 Tatizo: Block imetanuka, inahitaji block nyingine. Bei: Tsh. 500,000 Mahali ilipo: Kijichi, Dar Mmiliki: Ni Mimi mwenyewe Mawasiliano: 0712518886
0 Reactions
31 Replies
11K Views
Kwa abiria anayeenda Tanga leo nina usafiri wangu binafsi naenda Tanga leo jioni na kurudi kesho. Nafasi ni tatu tu. Kwa mtu anayetaka kusafiri na mm Nauli ni 12000 tu. Kwa mawasiliano zaidi ni PM.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu!! Mwenye speaker au anayejua machimbo kwa bei nzuri za saizi ya kati kwa ajili ya kanisani naomba msaada, used au mpya zozote.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini wana JF niende moja kwa moja tu, Jamani nauza heavy duty stapler mpya kabisa nilinunua kwajili ya kufungua office yangu sasa naona mambo yamenikalia ndivyo sivyo nazani mnaelewa...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Je wewe ni mwalimu wa Computer,Masomo ya sekondari au masomo yoyote? Ipo fursa ya kituo cha kufundisha kwa kulipia kwa mwezi gharama nafuu kabisa. Kituo kipo Boma Ng'ombe Hai Kwa mawasiliano...
1 Reactions
0 Replies
587 Views
Nafundisha kutengeneza incubator mashine za kutotolesha vifaranga Aina zake ninazofundisha - Mashine zinazotumia umeme - Mashine zinazotumia mafuta taa Nitafute whatsapp au tuma sms unaanza na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunauza mashine za kupimia DNA kwa wanaohitaji tuwasiliane
0 Reactions
13 Replies
2K Views
www.kiwaleis.blogspot.com<br />TREATED TIMBERS PRICE LIST<br />2X6 TSH:1300 RFT<br />2X4 TSH: 1000 RFT<br />2X2 TSH: 500 RFT<br />FISHER BOARD<br />1X9 TSH: 1700 RFT<br />1X7 TSH: 1300 RFT<br...
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Jipatie modem hii kwa bei ya 20,000/= ufurahie internet yenye kasi ya 4G kutoka Airtel huku ukifurahia Facebook ya bure. Kwanini uangaike na internet zisizoeleweka?! Nichek sasa kupitia...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Pikipiki aina ya Toyo 150cc inahali nzuri kabisa inamiezi kumi.haijawahi kutumika kama bodaboda inauzwa..mmiliki amehamishwa kikazi hivyo inauzwa.kama upo arusha wasiliana na muhusika kwa...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Lain ya tigo PESA INAUZWA ipo active.. Tel no 0652424250
0 Reactions
2 Replies
895 Views
Wadau wa JF Kwa wale watakaohitaji T-shirts maalumu za Umoja wa Vijana( UVCCM) mnaombwa kuwasiliana kupitia namba 0769024702 Manka Ngowi T-shirts za rangi zote ng zinapatikana kama vile rangi...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…