Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Imekomaa, ina 20years of age, urefu ni zaidi ya futi 20, ina average diameter ya 14cm. Ekari 16. Shamba lipo korogwe Tanga Tanzania. Nataka mtu atakaenunulia moja kwa moja shambani. Pia naomba...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Kwa wale ambao mnaotoka sehemu ya private unaweza kuwasiliana na mimi room kama unavyoiona bei yake 60k kwa siku usalama upo wa kutosha kwa mawasiliano wanaweza ukani ni dm ila location ipo makumbusho
6 Reactions
14 Replies
820 Views
Habari,ninauza kiwanja kilichopo wilaya ya ubungo, Kata Makuburi, kipo karibu na kwa mzee wa Upako. Karibu Km 1.5 kutoka Mandela road. Ni mwendo wa dk 20 kwa miguu kutoka kituo cha daladala ubungo...
4 Reactions
45 Replies
24K Views
Karibuni kwa huduma ya ufugaji wa samaki na mbegu bora ya samaki sato na kambale. Tunapatikana Bunju B Darajani (mingoi), njia ya kwenda bagamoyo karibuni sana.
1 Reactions
4 Replies
677 Views
Hello! Plot Available For Sale. *Along tarmac road,16km from ferry. Price: Tsh 600 Million. For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply...
1 Reactions
0 Replies
199 Views
Eneo lenye Nyumba ya zamani linauzwa. Mahali: Temeke karibu na shule ya Yemen, Mtaa wa Mganda. Eneo liko mita chache kutoka barabara ya Chang'ombe. Ukubwa wa Eneo: SQM 548. Bei: Tzs Milioni 400...
0 Reactions
0 Replies
260 Views
Ushauri, Utengenezaji wa mbwawa ya samaki, chakula cha samaki. >Kwa kupata huduma hizo tutafute kwa namba ya simu-0714420808/0789290156
4 Reactions
114 Replies
96K Views
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Material: Cotton Bei ya Khanga: sh 20,000/= Bei ya jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3. Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya...
0 Reactions
0 Replies
136 Views
4BEDROOMS CALL US +255624004650
0 Reactions
0 Replies
207 Views
Back
Top Bottom