Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu wana jamii forums, nina haja na simu ndogo zile zisizo na internet yyte, kawe used vile vya line mbili. Mwenye nacho aniuzie, nipo dsm makumbusho njoo fasta uchukue pesaaa
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau naulizia ni kampuni/wakala gani ambae anauza tv za solar hapa bongo?! Iwe kuanzia inch 43(inahitajika tv peke yake sio na mtambo wa solar)
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za muda huu wana Jf, natafuta meza na kiti cha ofisini used kwa bei nafuu, mwenye nayo naomba ani pm
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau,nahitaji tikiti maji nzuri na kubwa kwa bei ya jumla pamoja na Nanasi nzuri.quantity nachukua kuanzia 30,40 na kuendeleaKumbuka nahitaji kwa bei ya jumla.napatikana mbezi tangi bovu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Lg led 43" Brand new 2016 Model 43LH54 2hdmi ports 1usb port 1AV in Full hd 1080p Price: 770000 Contact 0777650286 & 0718919725 Tupo zanzibar, kwa walio nje ya zanzibar tunakusafirishia na utalipa...
4 Reactions
46 Replies
9K Views
Internal 32 GB RAM 4 GB android 7.1 (Nougat) Internet 3G & 4G camera 16 Bado mpya kabisa ina wiki mbili tu tangu inunuliwe (Receipt ipo kwa ushahidi) Bei yake ni 500,000 tu Nna shida ya haraka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wanajamvi nimeagiziwa Arusha kuna wataalamu wa kutengeneza oven ya kutumia mkaa au oil chafu, kwa mwenye info kuhusu hiyo service naomba anijuvye, natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
habari wana jf. Kuna nyumba 3 zinapangishwaa maeneo ya mwenge savei karibu na mliman city. 1. Chumba sebule choo na jiko 180,000/= kwa mwezi. 2. sebule vyumba viwili choo na jiko. tsh 280,000/=...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
MOBILE PHONE REPAIRING TOOLS AND UNLOCKING MODEMS AVAILABLE : Miracle box Oss Client Pro All Android ADB FRP Remover Tool Z3x Premium Gsm Alladin Infinix Box Octopus Samsung DC Unlocker NCK Box...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji samsung Note3 iwe nzima isiyo na tatizo lolote lile wala michubuko location Mwanza
0 Reactions
2 Replies
776 Views
*PURE SKIN BLACK HEAD CLEARING MASK* Page 27..code 32650. [emoji830]Hukinga ngozi ya uso isitokewe na alama nyeusi(anti-spot action ) [emoji830]Huondoa vinyama vyeusi vinavyoitwa blackhead...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Tupo Magomeni Mapipa mtaa wa idrisa upo upande wa kushoto kama unatoka kariakoo au jangwani Usilipie bidhaaa kabla hujaipata kwa wakazi wa Dar. Kwa watu wa mikoani mnatumiwa ila gharama znakua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BUSINESS CARDS PRINTING OFFER FROM TSH 15,000/= WITH FREE DELIVERY. Dear Sir/ Madam, This is Deomedes from Graphicom Tanzania. I'm proud and happy to inform you of our Designing & Printing...
0 Reactions
0 Replies
510 Views
Mashine bado ni mpya haijatumika napatikana magomeni Dar es salaam.bei 1,300,000 maongezi yapo pia 0767124704
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Viwanja vipo viwili Eneo: Mwongozo, Kigamboni Maelezo ya viwanja Plot no 213, Block 6, 483 Sq.metre Bei mil 20 maongezi yapo Plot no. 212 Block 6, 512 Sq.metre bei mil 25 maongezi yapo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta kiwanja kwenye mradi wa serikali wa Kisota uliyopo Kigamboni. Ukubwa wa kiwanja uwe kati ya square meter 1700 hadi 2300. Kama unacho na unauza tafadhali jibu hapa na aweke namba yako ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wadau kama nilivyo andika hapo juu kwanaye fahamu nauri ya dar to nairobi na nyumba zakulala wageni za bei nafuu za nairobi kwa muda wa siku 2
0 Reactions
26 Replies
13K Views
ULISHAWAHI KUWA NA TATIZO LA UDHAIFU WAKATI WA TENDO LA NDOA? Unalijua zao linaloitwa MACA? Kikawaida, unapozidi kukua, na kuwa mtu mzima, Glands za Endocrine huwa zinapunguza ufanyaji kazi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau msaada kwa anayepajua wanapouza vifaa vya kuprintia tshirt Mesh-screen Photo emulsion Ink Msaaada pliiiz
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nahitàji tray ya kuwekea line na sd card Samsung A3 2016 (duos) haraka ni dm kama unayo au pakuipata shukran.
0 Reactions
0 Replies
507 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…