MBEZI LUGURUNI HOTEL
[emoji3591]INAUZWA BEI POA!!
[emoji3591]TSHS. 950/- MILIONI
(MAPATANO YAPO)
HOTEL IPO JIRANI NA :-
[emoji3591]ST. JOSEPH UNIVERSITY
[emoji3591]OFISI YA MKUU
WA WILAYA...
Nyumba ipo kigamboni vijibwen karibu na ukingo wa Bahari, Ina vyumba 3 vya kulala kimoja master, jiko, store, dining room, sebule kubwa, shimo la choo tayar lishajengwa, maongez yapo. 0652180400
Nyumba inauzwa
Mahali: Goba(Lilian kibo) karibu na njia nne,
Nyumba ipo barabaran kabisa.
*Vyumba sita,
*Hati miliki,
*Umeme upo
*Maji yapo
*Bei 60millions
N.b
Maelewano yapo
Mhusika ni mimi...
Nyumba Ina vyumba 4 vya kulala kimoja master jiko la ndani na nje, mabanda ya uwani mabanda ya Kuku,kisima Cha maji,na eneo la wazi,unaweza hata kujenga nyumba nyingine, karibu Kwa mazungumzo...
Nyumba Ina vyumba 4 vya kulala kimoja master jiko la ndani na nje, mabanda ya uwani mabanda ya Kuku,kisima Cha maji,na eneo la wazi,unaweza hata kujenga nyumba nyingine, karibu Kwa mazungumzo...
Habari zenu wadau,
Nyumba Ina vyumba vitatu vya kulala,kimoja self,sebule jiko na public toilet,ipo ndani ya eneo la mita za mraba 400,maeneo ya zingiziwa,Chanika.
Bei ni milioni 15
Nyumba Ina vyumba viwili vya kulala sebule jiko na choo Cha public. Ipo kwenye fensi mazingira mazuri.
Ipo kwenye barabara ya mtaa, ipo Kigamboni darajani karibu na daraja la Nyerere.
Simu...
Nauza nyumba yangu iliyopo mkoani Morogoro. Mimi ndio mmiliki wa hiyo nyumba.
Ukubwa wa kiwanja ni 1500qm.
Nyumba ni ya ghorofa.
Vyumba vitano (vinne ni master bedroom)
Dinning na kitchen ni open...
Nyumba Ina vyumba viwili vya kulala sebule jiko na choo Cha public.ipo kwenye fensi mazingira mazur.
Ipo kwenye barabara ya mtaa, ipo Kigamboni darajani karibu na daraja la Nyerere. 0652180400
OK HII HAIJAWAHI KUTOKEA, NI OFA BABU KUBWAA
FUNGA MWAKA KWA KUMILIKI KIWANJA CHA MAKAZI KWA BEI NAFUU. Karibu kwenye mradi wetu mpya wa viwanja kwa bei ya LAKI SABA TU (700,000/=). Hii ni bei...
Habari,
[emoji298]Nyumba ina vyumba vitatu viwili masters
[emoji298] Bei ni Mil 58
[emoji298] Nyumba ya pili toka barabara kuu ya Twangoma
[emoji298] Hii Post imetolewa na mmiliki hakuna mtu kati...
Nyumba ina vyumba 3 vya kulala na sebule, choo kipo kwa nje..ukubwa wa kiwanja 20 kwa 20 mita .umeme upo na maji tumeshalipia na mda c mrefu yatakuwepo
Bei 19m
Maongezi zaidi au kuja kuona...
Nauza nyumba ambayo haijamaliziwa imeishia kwenye linter ni nyumba ya vyumba vitatu na master bed room Moja jumla vyumba vinne,sebule,dinning, store na public toilet shimo la choo limechimbwa...
Nyumba inauzwa ipo mjini chanika - milioni 30
Jiji la ilala dar es salaam
0718239997 - - 0742522232 whtsp
Bei poa
Bei tshg 30,000,000/= milioni 30
Inavyumba vitatu- - (1 master) siting room...
USD LAKI 800,000/
GHOROFA INAUZWA UPANGA
SQM 1000
UPANGA MTAA WA MAZENGO NYUMBA YA VYUMBA VINNE VYOTE MASTER SERVANT QUOTER .KITCHEN NA SEHEMU YA KULA NYAMA CHOMA INAUZWA KWA DOLA 800,000/= KUNA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.