Wanafamilia wa JF mliopo Dar nipokeeni nakuja huko kwa matibabu

digba sowey

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,901
14,367
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana.

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye hoja ya msingi, ninyi kama ndugu kwangu naingependa kupata msaada kwa hili tatizo langu,


nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa gesi na moyo kwenda kasi na maumivu makali ya tumbo , nimeenda hosipitali mbalimbali bila mafanikio. Hivo nimeamua kuchukua rufaa ili nije kutibiwa Dar-es-salaam, ambapo huenda ntapata tiba mahususi,msaada ninaoutaka toka kwenu wapendwa ni

1.mnijulishe hospitali ipi ninaweza tibiwa tatizo langu na hiyo hospitali iwe inapokea bima za NHIF

2 Mtu ambae hatajari wa kunipeleka hosipitali kwani mimi ni mgeni sana kwa jiji la Dar, hivo sijui wapi nianzie na wapi niishie.

3.Mahali pa kulala kwa siku ntakazokuwa nikifanyiwa matibabu Kwani kama nilivosema hapo juu namba mbili kuwa Mimi si mwenyeji lakini pia sina ndugu kwa hapo Dar, hivo hata pesa ya kukaa nyumba ya wageni kwangu ni tatizo kidogo kutokana na pesa nyingi kutumika kujitibia hivyo hata kipato changu kimeyumba sana

Kuhusu swala la chakula mimi nitajitegemea mwenyewe, hivyo mwenyeji wangu asihofu kwa hilo .NB. Nilishawahi kuleta huu Uzi ili kuomba msaada na ushauri was tatizo langu. Nasinzia nikiwa nimekaa kwenye kiti ambapo watu walinishauri ila hali bado si nzuri,.

Kwa yeyote atakaeguswa nainani Mungu atamzidishia na kumlipa kwa fadhira atakayonitendea

Mungu awe nanyi wapendwa.
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana.

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye hoja ya msingi, ninyi kama ndugu kwangu naingependa kupata msaada kwa hili tatizo langu,


nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa gesi na moyo kwenda kasi na maumivu makali ya tumbo , nimeenda hosipitali mbalimbali bila mafanikio. Hivo nimeamua kuchukua rufaa ili nije kutibiwa Dar-es-salaam, ambapo huenda ntapata tiba mahususi,msaada ninaoutaka toka kwenu wapendwa ni

1.mnijulishe hospitali ipi ninaweza tibiwa tatizo langu na hiyo hospitali iwe inapokea bima za NHIF

2 Mtu ambae hatajari wa kunipeleka hosipitali kwani mimi ni mgeni sana kwa jiji la Dar, hivo sijui wapi nianzie na wapi niishie.

3.Mahali pa kulala kwa siku ntakazokuwa nikifanyiwa matibabu Kwani kama nilivosema hapo juu namba mbili kuwa Mimi si mwenyeji lakini pia sina ndugu kwa hapo Dar, hivo hata pesa ya kukaa nyumba ya wageni kwangu ni tatizo kidogo kutokana na pesa nyingi kutumika kujitibia hivyo hata kipato changu kimeyumba sana

Kuhusu swala la chakula mimi nitajitegemea mwenyewe, hivyo mwenyeji wangu asihofu kwa hilo .NB. Nilishawahi kuleta huu Uzi ili kuomba msaada na ushauri was tatizo langu. Nasinzia nikiwa nimekaa kwenye kiti ambapo watu walinishauri ila hali bado si nzuri,.

Kwa yeyote atakaeguswa nainani Mungu atamzidishia na kumlipa kwa fadhira atakayonitendea

Mungu awe nanyi wapendwa.
Inatia mashaka, utajitegemea kwa chakula! Mi nashauri ukifika omba kuonana na mkuu wa mkoa huu atakusaidia. Ujitambulishe tu kuwa umetokea Koromije.
 
Inatia mashaka, utajitegemea kwa chakula! Mi nashauri ukifika omba kuonana na mkuu wa mkoa huu atakusaidia. Ujitambulishe tu kuwa umetokea Koromije.
Hakuna shaka Mkuu Mimi .ntakuwa na vitambulisho vyangu na barua ya rufaa, wala usihofu
 
Dini/ siasa havipaswi kutugawa wapendwa, kumbuka kuna maisha baada ya siasa, pia kuna Leo na kesho , hili tatizo mimi sikuliomba
Sasahivi mkuu tunakwenda Kibepari zile huruma huruma sahizi hakuna.

Utasaidiwa kutokana na upande uliopo, hali ya siasa ya nchi inatuondolea ule utu tuliokuwa nao zamani.

Na anayesababisha yote hayo ni huyu unayemtetea kila siku "Rais Wa watu Mwanza"
 
Majibu ya unaotegemea kuwa wenyeji wako yatakuzidishia majanga tu . Wewe cha kufanya ni rahisi sana. Ukifika Dar chukua daladala hadi muhimbili

Ukishuka pale nje kuna tax mwambie akiingize pale emergency maana hujisikii vema. Ukiingizwa ndani mlipe buku tax driver kisha wakati unashuka dondoka kwa uangalifu. Ukija kuokotwa tu utakuwa ushaanza matibabu rasmi hospital ya Muhimbili
 
Majibu ya unaotegemea kuwa wenyeji wako yatakuzidishia majanga tu . Wewe cha kufanya ni rahisi sana. Ukifika Dar chukua daladala hadi muhimbili

Ukishuka pale nje kuna tax mwambie akiingize pale emergency maana hujisikii vema. Ukiingizwa ndani mlipe buku tax driver kisha wakati unashuka dondoka kwa uangalifu. Ukija kuokotwa tu utakuwa ushaanza matibabu rasmi hospital ya Muhimbili
Asante mkuu
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana.

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye hoja ya msingi, ninyi kama ndugu kwangu naingependa kupata msaada kwa hili tatizo langu,


nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa gesi na moyo kwenda kasi na maumivu makali ya tumbo , nimeenda hosipitali mbalimbali bila mafanikio. Hivo nimeamua kuchukua rufaa ili nije kutibiwa Dar-es-salaam, ambapo huenda ntapata tiba mahususi,msaada ninaoutaka toka kwenu wapendwa ni

1.mnijulishe hospitali ipi ninaweza tibiwa tatizo langu na hiyo hospitali iwe inapokea bima za NHIF

2 Mtu ambae hatajari wa kunipeleka hosipitali kwani mimi ni mgeni sana kwa jiji la Dar, hivo sijui wapi nianzie na wapi niishie.

3.Mahali pa kulala kwa siku ntakazokuwa nikifanyiwa matibabu Kwani kama nilivosema hapo juu namba mbili kuwa Mimi si mwenyeji lakini pia sina ndugu kwa hapo Dar, hivo hata pesa ya kukaa nyumba ya wageni kwangu ni tatizo kidogo kutokana na pesa nyingi kutumika kujitibia hivyo hata kipato changu kimeyumba sana

Kuhusu swala la chakula mimi nitajitegemea mwenyewe, hivyo mwenyeji wangu asihofu kwa hilo .NB. Nilishawahi kuleta huu Uzi ili kuomba msaada na ushauri was tatizo langu. Nasinzia nikiwa nimekaa kwenye kiti ambapo watu walinishauri ila hali bado si nzuri,.

Kwa yeyote atakaeguswa nainani Mungu atamzidishia na kumlipa kwa fadhira atakayonitendea

Mungu awe nanyi wapendwa.


Je una magonjwa ya kuambukiza? Kama hauna karibu kwangu!
 
Back
Top Bottom