Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na Kambi rasmi ya upinzani bungeni mheshimiwa Freeman Mbowe amesema Mhe.Lissu ameumizwa vibaya na yuko katika hali mbaya tangu saa 4 asubuhi hadi sasa yupo kwenye chumba cha upasuaji
Chanzo: Redio One
Pia Soma
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali