Leo nimejifungia ndani nimelia kutwa nzima

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
17,463
21,192
Wakuu msaada wenu tafadhari

Leo nimejifungia nalia kutwa nzima na anayeniliza ni rafiki yangu kipenzi na si mwingine bali Punyeto

Rafiki yangu huyu huwa ananiliwaza sana nikiwa mawazo

Nikiwa nimekasirika nikipiga puchu Kosovo hasira zote zinaisha na napata furaha ya ajabu

Nikiwa sina usingizi ,namuita rafiki yangu punyeto nashtua kidogo kisha baaada ya hapo napata usingizi mnono

Nikiwa namtamani msichana na nashindwa kumuingia namuita rafiki yangu kipenzi (punyeto )kisha ananiletea huyo msichana nafanya nae mapenzi bila gharama yoyote


Mbali na kunipa furaha mara kwa mara lakini rafiki yangu huyu ndiye chanzo cha kunirudisha nyuma kimaendeleo kuanzia masomo mpaka maisha kiujumla


Nimekuwa mtu wa kusahau sahau kila mara kisa huyu rafiki yangu

Nimekuwa mtu wa kughairi mambo mara kwa mara kisa huyu rafiki yangu

Nimepata ubovu wa macho kisa huyu rafiki yangu


Lakini nimejaribu kumuepuka mara kwa mara lakini nashindwa


Hivyo basi naombeni ushauri wakuu jinsi ya kumuepuka rafiki yangu huyu
 
Wakuu msaada wenu tafadhari

Leo nimejifungia nalia kutwa nzima na anayeniliza ni rafiki yangu kipenzi na si mwingine bali Punyeto

Rafiki yangu huyu huwa ananiliwaza sana nikiwa mawazo

Nikiwa nimekasirika nikipiga puchu Kosovo hasira zote zinaisha na napata furaha ya ajabu

Nikiwa sina usingizi ,namuita rafiki yangu punyeto nashtua kidogo kisha baaada ya hapo napata usingizi mnono

Nikiwa namtamani msichana na nashindwa kumuingia namuita rafiki yangu kipenzi (punyeto )kisha ananiletea huyo msichana nafanya nae mapenzi bila gharama yoyote


Mbali na kunipa furaha mara kwa mara lakini rafiki yangu huyu ndiye chanzo cha kunirudisha nyuma kimaendeleo kuanzia masomo mpaka maisha kiujumla


Nimekuwa mtu wa kusahau sahau kila mara kisa huyu rafiki yangu

Nimekuwa mtu wa kughairi mambo mara kwa mara kisa huyu rafiki yangu

Nimepata ubovu wa macho kisa huyu rafiki yangu


Lakini nimejaribu kumuepuka mara kwa mara lakini nashindwa


Hivyo basi naombeni ushauri wakuu jinsi ya kumuepuka rafiki yangu huyu
Umefufuka??



Buriani ndugu zangu , tutaonana akhera
 
Wakuu msaada wenu tafadhari

Leo nimejifungia nalia kutwa nzima na anayeniliza ni rafiki yangu kipenzi na si mwingine bali Punyeto

Rafiki yangu huyu huwa ananiliwaza sana nikiwa mawazo

Nikiwa nimekasirika nikipiga puchu Kosovo hasira zote zinaisha na napata furaha ya ajabu

Nikiwa sina usingizi ,namuita rafiki yangu punyeto nashtua kidogo kisha baaada ya hapo napata usingizi mnono

Nikiwa namtamani msichana na nashindwa kumuingia namuita rafiki yangu kipenzi (punyeto )kisha ananiletea huyo msichana nafanya nae mapenzi bila gharama yoyote


Mbali na kunipa furaha mara kwa mara lakini rafiki yangu huyu ndiye chanzo cha kunirudisha nyuma kimaendeleo kuanzia masomo mpaka maisha kiujumla


Nimekuwa mtu wa kusahau sahau kila mara kisa huyu rafiki yangu

Nimekuwa mtu wa kughairi mambo mara kwa mara kisa huyu rafiki yangu

Nimepata ubovu wa macho kisa huyu rafiki yangu


Lakini nimejaribu kumuepuka mara kwa mara lakini nashindwa


Hivyo basi naombeni ushauri wakuu jinsi ya kumuepuka rafiki yangu huyu

Basi mwororo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom