Yassin Khalid Member Jul 8, 2016 42 9 Aug 10, 2016 #1 Habari ndugu zangu, Nauza eneo kubwa lipo maeneo ya kurasini (kata ya mivinjeni) kwa maelezo zaidi wasiliana na mimi 0717007272
Habari ndugu zangu, Nauza eneo kubwa lipo maeneo ya kurasini (kata ya mivinjeni) kwa maelezo zaidi wasiliana na mimi 0717007272
Man Mvua JF-Expert Member Apr 12, 2016 2,184 3,517 Aug 10, 2016 #2 Yassin weka bei tujipime kabla ya kumaliza vocha kukupigia ili tujijue kabisa kama naweza upanda mlima.
Yassin weka bei tujipime kabla ya kumaliza vocha kukupigia ili tujijue kabisa kama naweza upanda mlima.
mkandumbwe JF-Expert Member Aug 22, 2015 424 370 Aug 10, 2016 #4 Watu wanahamishwa mivinjeni na wengine nyumba zinavunjwa..... Ww ndo unatushawishi tune kunenga hapo????
Watu wanahamishwa mivinjeni na wengine nyumba zinavunjwa..... Ww ndo unatushawishi tune kunenga hapo????
Countrywide JF-Expert Member Mar 2, 2015 18,183 27,226 Aug 10, 2016 #5 mivinjeni panavunjwa!! jaribu tena