Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,640
- 4,426
Hello
Natumaini ni wazima wa afya mwaka jana mwezi kama huu niliandika uzi kwenye jukwaa ili kuhusu biashara ya viatu
Kwa kweli nawashukuru sana mlipokea ile biashara kwa mikono miwili na watu walinipongeza sana wengine kupitia ule uzi waliijua biashara ya viatu na kufungua maduka magoli nadhani paka sasa maisha yao yamebadilika.
Kwa upande wangu nikiri nimepokea simu nyingi sana na kuonana na watu wengi sana waliokuwa wanataka kuifanya biashara ya viatu .
Kwa kweli kila aliyekuja kwangu nilimpa ushirikiano mzuri na kumsaidia kwa ushauri na kuwatia moyo
Kwenye ule uzi mimi nilikuwa naelezea biashara ya viatu vya special tu
Ila katika watu kutoa maoni kuna mdau mmoja Kyawanjubu alitoa maoni yake kuhusu biashara ya viatu vya mtumba nadhani ile comment yake ni best kabisa kwenye ule uzi .
Kupitia ile comment nilipata wazo la kufungua biashara ya viatu vya mtumba
Kwa kweli niseme wazi biashara ya viatu vya mtumba ukiwa seriously kabisa inabadili maisha yako
Baada ya kusoma yale maoni niliamua nitumie hiyo fursa kufungua biashara ya viatu vya mtumba mara moja
Nilifikiri ni wapi eneo zuri la kufungua hiyo biashara ndio nikakumbuka nje ya mjini kidogo nina eneo langu niliweka hapo kakibanda nauza juis maji nk
Niliona ni sehemu nzuri itayonifaa ikabidi niachane na biashara ya kuuza vinywaji nifunguwe viatu vya mtumba
Kwa haraka sana nikatafuta kijana nikamlipa anirekebishie ilo eneo akapanga vizuri mfuko nikapata level nzuri
Nikamuita fundi akaja kunitengenezea banda
Baada ya matengenezo kukamilika nilichukuwa laki moja nikaenda mlango mmoja kuperemba viatu vya hiyo bei
Kwasababu nilikuwa na mtaji mdogo nilikuwa natafuta viatu vya elfu 6000 elfu 8000 nilipata peaa zangu kadhaa nikaenda nyumbani nikavisafisha vizuri kisha nikaenda golini kwangu kutega nashukuru Mungu siku ya kwanza tu niliuza pea mbili moja niliuza 22000 hiki kiatu nilichukuwa kwa 8000 na kingine 15000 nilikinunua 6000
Kesho yake tena mapema nilienda lango kutafuta viatu vingine kuendelea na biashara ikawa nauza pea moja mbili kwa siku ata tano
Hii biashara ni nzuri sana ina faida kubwa sana kwasababu kwa mwezi lazima niwe na faida 200000 au laki na nusu .
Ndani ya huu mwaka nimeongeza goli lingine la viatu na mambo yangu yapo vizuri kabisa .
nimshukuru Kyawanjubu kwa maoni yake mazuri niwashukuru wote walioshiriki kwenye ule uzi wangu wa kwanza Mungu awabariki sana
Mwisho
Nakaribisha maoni maswali na ushauri
Asante Sana
View attachment 1944305
Natumaini ni wazima wa afya mwaka jana mwezi kama huu niliandika uzi kwenye jukwaa ili kuhusu biashara ya viatu
Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha
Hello Natumaini mnaendelea vyema na harakati za kutafuta maisha nimeona leo niwaibie siri jinsi hii biashara ya sandals na viatu inaweza kukutajirisha kwa haraka. Historia Mimi kwa majina ya kuzaliwa naitwa Innocent kirumbuyo nimezaliwa Kilimanjaro katika hospital marubeneti miaka mingi...
www.jamiiforums.com
Kwa kweli nawashukuru sana mlipokea ile biashara kwa mikono miwili na watu walinipongeza sana wengine kupitia ule uzi waliijua biashara ya viatu na kufungua maduka magoli nadhani paka sasa maisha yao yamebadilika.
Kwa upande wangu nikiri nimepokea simu nyingi sana na kuonana na watu wengi sana waliokuwa wanataka kuifanya biashara ya viatu .
Kwa kweli kila aliyekuja kwangu nilimpa ushirikiano mzuri na kumsaidia kwa ushauri na kuwatia moyo
Kwenye ule uzi mimi nilikuwa naelezea biashara ya viatu vya special tu
Ila katika watu kutoa maoni kuna mdau mmoja Kyawanjubu alitoa maoni yake kuhusu biashara ya viatu vya mtumba nadhani ile comment yake ni best kabisa kwenye ule uzi .
Kupitia ile comment nilipata wazo la kufungua biashara ya viatu vya mtumba
Kwa kweli niseme wazi biashara ya viatu vya mtumba ukiwa seriously kabisa inabadili maisha yako
Baada ya kusoma yale maoni niliamua nitumie hiyo fursa kufungua biashara ya viatu vya mtumba mara moja
Nilifikiri ni wapi eneo zuri la kufungua hiyo biashara ndio nikakumbuka nje ya mjini kidogo nina eneo langu niliweka hapo kakibanda nauza juis maji nk
Niliona ni sehemu nzuri itayonifaa ikabidi niachane na biashara ya kuuza vinywaji nifunguwe viatu vya mtumba
Kwa haraka sana nikatafuta kijana nikamlipa anirekebishie ilo eneo akapanga vizuri mfuko nikapata level nzuri
Nikamuita fundi akaja kunitengenezea banda
Baada ya matengenezo kukamilika nilichukuwa laki moja nikaenda mlango mmoja kuperemba viatu vya hiyo bei
Kwasababu nilikuwa na mtaji mdogo nilikuwa natafuta viatu vya elfu 6000 elfu 8000 nilipata peaa zangu kadhaa nikaenda nyumbani nikavisafisha vizuri kisha nikaenda golini kwangu kutega nashukuru Mungu siku ya kwanza tu niliuza pea mbili moja niliuza 22000 hiki kiatu nilichukuwa kwa 8000 na kingine 15000 nilikinunua 6000
Kesho yake tena mapema nilienda lango kutafuta viatu vingine kuendelea na biashara ikawa nauza pea moja mbili kwa siku ata tano
Hii biashara ni nzuri sana ina faida kubwa sana kwasababu kwa mwezi lazima niwe na faida 200000 au laki na nusu .
Ndani ya huu mwaka nimeongeza goli lingine la viatu na mambo yangu yapo vizuri kabisa .
nimshukuru Kyawanjubu kwa maoni yake mazuri niwashukuru wote walioshiriki kwenye ule uzi wangu wa kwanza Mungu awabariki sana
Mwisho
Nakaribisha maoni maswali na ushauri
Asante Sana
View attachment 1944305