Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Habarini! I am new to this forum naomba cooperation yenu!
1 Reactions
10 Replies
917 Views
Hi Everyone. I am happy to be a Member with you.
2 Reactions
3 Replies
993 Views
Naitwa Emmanuel, nimekua nikifwatilia habari nyingi na Mambo kedekede kutoka JF... Nikijaribu ku-chek thread nyingi hasa kuhusu biashara naona nmechelewa Sana, tuko pamoja sana
1 Reactions
3 Replies
657 Views
Kwanza niwashukuru waungwana wote waliopo na walio-anzisha ‘Platform’ hii ya JF. Nimekuwa nikikaa ndani mwenyewe baada ya mambo yangu kuyumba sana hususani ‘Financially’ na huku nikikosa mtu wa...
2 Reactions
1 Replies
763 Views
Habari zenu wadau wa JF. Naitwa Cain Constantine Chuhira kutoka Kigamboni Dar es Salaam.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini wanandugu katika JF. Mimi nimejiunga hum toka 2017 huko ila skua napata muda wa kuchangia sana sababu ya mambo na namna namna za hapa na pale mpaka nilipoamua kupakua app kwenye sim...
0 Reactions
5 Replies
924 Views
Mambo vipi! Naitwa Baredo,ni Mtanzania kwa kuzaliwa,kitaaluma ni Mhandisi Mitambo (Mechanical Engineer),umri wangu ni 30+ bado sijaoa. Natumaini nitapata ushirikiano wenu ili niendelee kujifunza...
2 Reactions
9 Replies
970 Views
Hatimaye rasmi leo nakuwa member wa jamiiforum naomba ushirikiano mwema toka kwenu wadau
0 Reactions
4 Replies
655 Views
Habar Wana jf Mimi n mgeni hapa jf, Nahitaji ukaribisho wenu na guideline miiko ya wakuu humu, jf... Maelekezo jinsi ya kuchangia hoja kuepuka kuzozana na kubehave pia ni vizur kwa wenye...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Naomba mnipokee.
0 Reactions
10 Replies
954 Views
Mimi si mgeni sana lakini nilikuwa siko hewani kila wakati.
1 Reactions
7 Replies
923 Views
New Member JamiiForums I need a warm welcome to this Fantastic app...
0 Reactions
5 Replies
660 Views
Mnipokeye wa tanzania wenzangu. Hodi, hodi, hodi........
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Tupo pamoja wakuu
0 Reactions
3 Replies
688 Views
Wadau, Mambo vipi?
0 Reactions
1 Replies
618 Views
Naomba ukaribisho wenu wakubwa zangu nilikuwa msomaji tu kwa mda mrefu ila nikaona siyo vyema hatimae Leo nikasaini rasmi. Naomba ushirikiano wenu
1 Reactions
3 Replies
627 Views
Hodi hodi wakurugenz ndyg zangu nawakubali san humu ndan amjawai yumba mna akil san yan nyie mpak mke nilie mweka ndan nimempatia humu ndani wew ana akil nying sana
2 Reactions
10 Replies
809 Views
Wapendwa jina langu Ni JB Wapps. Naomba ushirikiano wenu.
0 Reactions
1 Replies
618 Views
Habari, mimi ni mgeni humu ndani naomba mnipokee [emoji120][emoji120]
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu waafrika wenzangu, mimi ni mgeni JF naomba mnipokee. Ahsante!
1 Reactions
2 Replies
801 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…