Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Habari, Nimefurahi kuwa sehemu ya jukwaa hili. Natarajia kusoma nyuzi kadhaa nzuri.
0 Reactions
7 Replies
413 Views
Naomba mnipokee Mimi ni mtanzania mwenzenu.
1 Reactions
10 Replies
391 Views
Hodi mim mgen
5 Reactions
22 Replies
636 Views
Hii
Hii
2 Reactions
6 Replies
221 Views
Habari JamiiForums, Mimi ni mgeni, naomba kupokelewa humu.
3 Reactions
7 Replies
350 Views
Niaje wakuu JamiiForums mitano tena nimelipenda hili chama limenifurahisha nimeamua kujiunga nalo sina mengi.
5 Reactions
10 Replies
304 Views
Hello group, I am a new entrant!
4 Reactions
14 Replies
483 Views
Habari JF members, naomba mnipokee.
2 Reactions
10 Replies
483 Views
Nawasalimu kwa Jina la Mungu mwenye Rehema na upendo mkubwa! Wana JF nimeingia Hapa kwenu leo nikigonga hodi Katika milango ya Mawazo yenu. Nipokeeni kwa Moyo mkunjufu na Upendo kamili!
2 Reactions
9 Replies
383 Views
Hellow naitwa linyimuka ni mtaalamu wa masuala ya mahusiano na ukaguzi
2 Reactions
8 Replies
245 Views
Mimi Mgeni humu, naomba kupokelewa. Nina asili ya uandishi, utafiti na uanasiasa. Nitakuwa nanyi katika mambo yote yanayohusiana na haya. Ahsanteni.
5 Reactions
7 Replies
339 Views
Hello guys, Nashukuru kupata nafasi ya kujiunga pamoja nanyi katika jukwaa hili, nimatumaini yangu nitajifunza mengi mazuri kutoka kwenu hasa kwenye Siasa, ushauri, urembo na mengine mengi. Shukrani
3 Reactions
10 Replies
241 Views
Mimi ni mgeni humu kutokea maeneo ya Mo Arena Bunju. Namtafuta mgonjwa wangu muhimu sana tulipotezana uwanja wa taifa baada ya goli la pili kufungwa baina ya Simba na Yanga. Sijui yu hali gani...
2 Reactions
9 Replies
458 Views
Am new member
1 Reactions
13 Replies
445 Views
Hatimae nami nimefika humu ndani mpo jamani nimetokea Facebook, napatikana mlandizi Kijiji Cha Masangu kata ya magagura Mkoa Ruvuma
4 Reactions
39 Replies
827 Views
Habari wadau kwa majina kamili naitwa Hussein Mohamedi Bendera natumia Nyanda Banka kama nickname
2 Reactions
5 Replies
422 Views
Hakuna jipya
0 Reactions
6 Replies
322 Views
Habari za wakati huu? Ninatumai wewe unaesoma ujumbe huu ni mzm wa afya ila kama una changamoto ya kiafya pole sana Mwenyezi Mungu akupe wepesi, mie ni mgeni humu na ni Mwanasheria...
1 Reactions
5 Replies
575 Views
Habari zenu wakuu mimi ni fundi friji, nafurahi kujiunga nanyi. Natumaini kujifunza mengi.
1 Reactions
4 Replies
233 Views
Habari za muda huu wana JF. Hongeren kwa majukumu na Mungu awabariki sana.
1 Reactions
12 Replies
695 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…