Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
NIKARIBISHENI
5 Reactions
18 Replies
187 Views
Jamani naombeni nipokeeni mimi ni mgeni lakini mwenyeji pia kwani nilikuwa nafuatilia JF since nipo na kiswaswadu kupitia Opera mini🤗🤗 Mpwayungu Village ,raraa reree ,
8 Reactions
39 Replies
329 Views
Wakuu nimerejea Tena baada ya muda kidogo niliikumbuka sana jf na wote ndugu zangu wa humu jukwaani nashukuru nimerejea
3 Reactions
5 Replies
96 Views
Ni mara ya kwanza kujiunga JF ila nmekuwa nkiliona jukwaa hili mtandaon nikawanamatamanio ya kujiung nanyi
5 Reactions
42 Replies
347 Views
Njia za kupita sizioni, yaani mambo ni hoves😅 naogopa nisije nikachanganya mambo 😄😄😄 Natoa tahadhari mkinikuta nimeangukia mahali humu msinicheke
12 Reactions
108 Replies
1K Views
Habari wakuu, naitwa For educational purpose. Nimeingia rasmi jukwaani kushare elimu ya Cyber Security, mbinu za kujilinda, na mienendo ya kule Dark Web. Kama unapenda mambo ya udukuzi, na...
4 Reactions
16 Replies
185 Views
Habari wakuu baada ya kupotea kwa muda nimerudi na account nyingine jamii forum.
3 Reactions
7 Replies
182 Views
Mimi ni new member humu JamiiForums naomba mnipokee. Ndugu zangu humu
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Shkamooni wakuu! Nawasalimia me ni mgeni humu, nimejiunga juzi, ila JF nimeijua tangu mwaka jana. Mnikaribishe tafadhali.
13 Reactions
57 Replies
807 Views
Habari wana JamiiForums, mimi ni mwananchama mpya naomba mnipokee
8 Reactions
47 Replies
464 Views
Jamani mimi nimejiunga leo jf nipeni hata like moja mana nimeteseka mno mpaka nimefanikiwa
7 Reactions
7 Replies
107 Views
shkamooni, kaka na dada wa Jamiiforums. Mimi member mpya JF nipokeeni, nawapenda woote.
10 Reactions
64 Replies
1K Views
Mimi ni mgeni humu nimefika mwaka juzi naomba mnipokee.
7 Reactions
21 Replies
467 Views
Habari zenu wakuu Mimi ni mwanachama mgeni nimejiunga siku za karibuni ila nimekuwa msomaji wa jukwaa hili kwa muda mrefu sasa
9 Reactions
45 Replies
428 Views
Shikamoo wakubwa pole na majukumu na mihangaiko mimi ni mgeni naomb mnipokee . Shukrani nyingi ziende kwa mwanzilishi wa JamiiForums kutokana na kuazisha jukwaa hili kupitia jukwaa hili...
2 Reactions
9 Replies
190 Views
Wakuu kwemeni na hamjamboni aisee nimekumbana na changamoto ya namna nzuri ya kutumia JF 1. Nashindwa kuwatag watu niwapendao mf.Seran 2. Nashindwa kudouble reply 3. Nashindwa kuquote uzi kama...
10 Reactions
44 Replies
407 Views
Salam Kwa mara ya kwanza namejiunga JF rasmi, heshima kwenu wadau Kwa niaba ya wengi naomba niwataje wakuu kadhaa walio nivutia zaidi kuingia humu. 1. Robert H. Mtibeli 2.Mshana jr 3.Tate mkuu...
6 Reactions
12 Replies
202 Views
Habari zenu ndugu,,,, wakubwa shkamooni!!!!!! Mim mtanzania mwenzenu naombeni ukaribisho wenu nimeamua kujiunga na jamiiforums.
1 Reactions
16 Replies
233 Views
Hello guys l'm new member here so we are in this together
2 Reactions
7 Replies
160 Views
Asalam aleykum,Bwana asifiwe Watanzania wenzangu. Awali ya yote Mimi ni mgeni hapa JF lakini nimeifuatilia tangu nipo shule mwaka 2018, hivyo naombeni mnipokee. Kuna kitu nakiona na kinaniumiza...
9 Reactions
18 Replies
309 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…