Nina shamba la familia wilaya ya muheza, kilapura, Tanga. Ni shamba lenye ukubwa wa ekari 8.
Mimi nafanya kazi Arusha, hilo ndo jambo kubwa linalonipa mashaka katika usimamizi. Japo naweza pata...
wadau niko kwenu hapa najaribu kufikiri kuanza UFUGAJI Sasa nawaza kuhusu UFUGAJI WA NGURUWE au kuku SASO naombeni ushauri wenu nataka kutengeneza pesa za ada mwakani.
NIKO MKOANI NA MTAJI...
Masoko ni nin? Masoko ni sehemu wanazouza na kununua bidhaa mbalimbali.
Tunaweza kutumia njia gani nje na hizi tulizo zizoea kila siku kuimarisha soko la watu wanao uza bidhaa mbalimbali kuanzia...
Wana JF, nataka kufanya kilimo cha mapapai ila nahitaji mbegu za muda mfupi kuzaa ili nianze kuvuna mapema. Naomba msaada wa yafuatayo
1 Wapi nitapata mbegu fupi za muda mfupi kuanza kuzaa?
2...
Wakulima wa zao la Ngano Wilayani Makete, wameshauriwa kutumia Mashine bora za kisasa katika Uvunaji wa zao hilo, ambao umeshanza rasmi katika baadhi ya Maeneo ikiwemo kijiji Cha Mlengu kilichopo...
Huu ni msimu wa uuzaji mahindi na wanunuzi wakuu ni serikali, lakini ajabu nimetembela magodawni kadhaa hakuna mashine ya kupepeta taka kama hii hapa chini.
Wanatumia sefa za waya ambazo kwa...
KILIMO CHA NYOKA
Achana na Matikiti, Kuku, Vitunguu, au Mayai ya Kwale.
Hili sasa ndio Suluhisho.
Kilimo cha Nyoka
Fikiria uwe na Cobra 10.
Cobra mmoja anataga mayai 60 Kwa mwezi anatotoa...
Habari wakuu, nahitaji mtu anaelima au anayenunua kitunguu swaumu hii nikwaajili ya ushauri na kujifunza Zaidi Kuhusu kilimo hichi, nipigie au nitext hapa 0613389628 au Ni dm, nitakushukuru.
Hatua za kufuata ukitaka kulima nyanya chungu
Nyanya Chungu ni zao la Kitropic linalotoa mazao yake kama matunda au kama mboga. Rangi ya matunda huwa kijani kibichi au kijani-njano, au...
Kuna kilio cha wananchi ambao wamelima miwa yao na wameshindwa pa kuuza kwa sababu viwanda navyo vina sukari na wameshindwa wamuuzie nani.
Serikali tumeiweka sisi wananchi madarakani ili...
Nina mtaji wa shilingi laki mbili lakini nimeona biashara itakayoniingizia hela nzuri na kuchukua muda wangu kiasi nikiwa najipanga ni kilimo. Je kilimo gani ni kizuri hata nikiwa na heka moja...
Ni kweli serikali inataka kupiga hatua Kwa wananchi wake?
Kama ni kweli ushauri wangu Kwa serikali yangu ijitazame katika mambo haya ya yafuatayo.
Mbolea Kwa mkulima:ni wakati Sasa wa sekta ya...
Hivi naomba kujua na kufahamu madawa ya kwenye mazao na kilimo na mifugo huwa majaribio yake wanayafanyiaga wapi?
Kuna maduka mengi yanauza madawa ya mifugo pamoja na madawa ila haya madawa mengi...
Kumekuwa na kasumba juu ya swala Zima la ufugaji wa kuku wa kienyeji kuonekana kama ni swala lisilowezekana yaani kufuga kuku wa kienyeji mpaka kufikia idadi kubwa yani 1000, 2000 au hata 3000...
Wanajamvi
Kuna jambo lisilofaa kuhusu ruzuku ya mbolea za tumbaku kwa msimu ulioisha.
Serikali kupitia tangazo la TFRA la tarehe 29/12/2023 ilitoa mwongozo wa bei kwa mbolea za msimu huu kuwa ni...
Wakuu natumai mu-wazima wa afya,
Natafuta Caterpillar la kuvunja shamba. Shamba lipo mkoa Pwani (km 160 kutoka Dar).
Ningependa kujua gharama ya kukodisha, kusafirisha na kama Kuna gharama zingine
Habari za uzima Wana jf🙏
Kwa heshima kubwa Sana nimekuja kwenu hapa.
Pamoja na kwamba hapa Kuna utani na mizaha ya hapa na pale
Naomba tuiweke kando
Tujadiri hili.
Mimi ni mfugaji mzoefu na...
Habari Bado napambana Na harakati za mpunga kwa sasa shamba langu La mpunga ushavuka Siku 50 ila nimechunguza ndani ya ndiwa zangu panya wameanza kukata ingawa maji yamejaa sasa wasije wakanipa...
Habari,
Nipo Dar, nina shamba hekari 30 lipo Morogoro… Nahitaji Bwana shamba awe ananipa muongozo na elimu juu ya kilimo ili niweze kuwekeza.
Ahsanten..