Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Kwa yeyote anayejua zinapatikana wapi kwa bei gani anijulishe tafadhali mpya ama second hand Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hallo wana JF. Natumain kila Mmoja wetu anatambua Nguvu iliyopo pale watu wanapoamua kuungana na kuwa kitu kimoja. Kwani kunakuwa na faida ndani yake. Moja ya faida kubwa ni Mawozo(Ideas) hatA...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukifanya bisahara Tanzania inalipa. Ila usiuze pembe za ndovu au madawa ya kulevya. Vipo vingi vya kuuza ambavyo ni halali.:A S tongue:CHATGUEST FORUMS is your best source for knowledge.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kutakuwa na Nyama Choma katika viwanja vya Posta Kijitonyama Jumamosi Tar 16 November 2013, tukio hili litaenda sambamba na muziki, michezo ya watoto, vinywaji, michezo kama pool pia itakuwepo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
nimeletewa trecta ili niweze kukodisha kwa wakulima hivi jamani bado biashara hii inalipa na wapi kwa sasa yanahitajika ni Massey ferguso 375, naomba mnishauri
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Naitwa jofrey george, mwandisi wa majengo, nafanya kazi za kuchora ramani za majengo aina zote, kupiga gharama za ujenzi(bopq), kusimamia ujenzi na ushauri wa kitaalamu kuhusu majengo...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Gari aina ya Toyota Hiace inauzwa. Ipo Dar es salaam na Iko kwenye hali nzuri sana. Ni ya mwaka 1996, Engine ya Diesel, ina viti vya kukaa watu 17, na imesajiliwa kwa Biashara. Mwenye kuihitaji...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari Wanajamvi. Nategemea kuhamia dodoma mjini kama wiki mbili zijazo. Napenda nizifahamu fursa za kijasiriamali huko mana mimi ni mtumishi wa serikali ambae napenda pia niwe na kipato cha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajf..! Niko dar naitaji msaada toka kwa mtu anayefanya biashara ya kuuza viatu vya kina dada,Kama upo naomba nipm namba yako.
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wana JF. Nipo dodoma mjini na nina mtaji wa 2m. Biashara gani inalipa kuifanya kwa huo mtaji? Mungu awabariki.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi.... Ama baada ya salamu, leo nina jambo langu nataka niwahusishe ndugu zangu. Ni hili suala la duka la reja reja ( la mahitaji ya kila siku ya nyumbani ), baada ya...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Heshima mbele Wanajamvi! Sisi ni vijana watatu tumeungana tukafungua na kusajiri kampuni ya Mawasiliano. 2 kati yetu ni wazoefu kabisa kwenye fani hii na wameshafanya kazi na makampuni ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samahani wanajamvi ninaulizia kuhusu utaratibu wa kusajili jina la biashara na gharama zake na je katika Kusajili kwa sisi watu wa mikoani utaratibu ukoje au inatulazimu mpaka tufike Dar es...
0 Reactions
31 Replies
12K Views
Kwa sisi tunaotegemea mvua ktk kilimo je ni zao gani litasitawi katika mvua hizi zinazonyesha?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba msaada mwenye kujua wapi ninaweza kupata seedling trays au trei za kitalu kwa ajili ya kuoteshea mbegu za mbogamboga na matunda. Asante.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wana jf. naomba kuuliza kwa wale wanaojuwa kuhusu biashara ya mayai ya kuku kwa bei ya jumla. naomba kujuwa bei za kununua kwa jumla na bei za kuuza kwa jumla. asanteni
0 Reactions
1 Replies
2K Views
-tunachimba visima virefu kwa kutumia machine maalum ya kisasa kwa uhakika na kwa bei nafuu. -tunachimba na kukabidhi kisima ndani ya siku moja. tutakufuata popote ulipo [dar]. mobile no: 0712...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Taa ya hatari imeanza kuwaka kwa wafanyabiashara na wajasiriamali wa Tanzania Asilimia kubwa ya wafanyabiashara, ( wakubwa na wadogo) wanafanya biashara Kienyeji na kikubahatisha wanafanya...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
ndugu yangu unayesoma hapa, ebu bonyeza hapa upate faida http://www.perfectapp.biz/refid=95462b893a laiti kama ungeelewa faida yake wala usingesita kubonyeza nipm nikupe uhondo.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Bei ni 4.5 ila kuna punguzo piga simu namba 0766978393
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…