Hello pipz..Don't miss this out ... An adorable google
galaxy nexus 2 brand new in the box...16gb
internal memory..1gb ram...camera front nd
hind...4g internet...wide display
screen. ..android...
Habari. Motor inauzwa iko ktk halo nzuri imerumika kwa muds was mirzi 3 tu. Being no sh 450000. Iko makongo juu ukitaka kuiona. Namba Yang ni 0758 308193. Picha ntaweka soon.
Habari za leo wana jamvi!
Jamani nawaombeni sana mlione na hili ili tuone uhalali wake.
Kuna hii kitu inatwa TELEX FREE ambayo baada ya kusoma post mbalimbali za wana-mitandao nimejiridhisha...
Kuna shamba la miti ekari 9.5 lenye Hati miliki linalouzwa huku mafinga
Miti imebakiwa na miaka miwili 2 tayar kwa kuvuna mbao shamba eka moja kwa kawaida ni shilling mill 14 lakini hili...
HALOO jumamos(12/04/2014) hii kuna semina kali sana,itakayofanyikia ubungo plaza(blue pearl) saa saba na nusu mchana.inahusu uwekezaji TANZANIA.ipo chini ya Recon Brown wa south Africa na...
Habari zenu wana JF, Mimi ni mjasiriamali mdogo nafanya biahsara ya stationery natoa huduma ya Typing na manual, scanning, binding, photocopy and pasport size. Vyote hivi navifanya kwa bei nafuu...
Location : Ipo Msongola , njia ya kutokea Mbagala Mbande kuelekea Mvuti
: Ina HATI, ina umeme, ina maji
: Ina vyumba kumi (mfumo wa nyumba za kupangisha -...
Wanajukwaa salamu kwenu. Ninaomba msaada wa kimawazo na ushauri;
Wakuu nipo kwenye utafiti wa kuangalia fursa ya kuanzisha taasisi ya ukopeshaji kwa wananchi ambao hawajapata huduma hii kutoka...
tunauza blog website special kwa ajili ya news,stories na mengineyo.website inaitwa walimwengu.com..kama unavoona jina la website linapendeza na kuvutia
website ina muonekano mzuri kwenye desktop...
Wadau wa uzi habariní. Naombeni ushauri juu ya namna ya kuwa FREELANCE ECOLOGIST. Kwa kiswahili kama MWANAHABARI wa MAZINGIRA WA KUJITEGEMEA. Katika hilo nataraji kutafuta na kuzifanyia kazí...
Wadau wa uzi habariní. Naombeni ushauri juu ya namna ya kuwa FREELANCE ECOLOGIST. Kwa kiswahili kama MWANAHABARI wa MAZINGIRA WA KUJITEGEMEA. Katika hilo nataraji kutafuta na kuzifanyia kazí...
Nina kihasi kidogo cha pesa kama 160,000 hivi kwa hio naomba mwenye uzoefu wa biashara ndogo ndogo kwa hapa dar kwa kiwango hiko kidogo cha pesa naweza kufanya biashara hipi.naomba mawazo yenu...
Habari zenu wadau
Mimi namiliki duka la rejareja hapa mjini,napata shida sana ya kuhesabu bidhaa mara kwa mara,sasa natafuta mashine itayofanya hiyo kaziili kujua kila bidhaa inayotoka kama zile...
Nauza majogoo yako ishirini tu aina ya LIGHT SUSSEX yana umri wa miezi saba yana afya njema. Sababu ya kuyauza ni kwamba ninayo 40 nataka nibaki na 20 tu. bei ni elfu 20 kwa jogoo mmoja...