Habari wana Jf.
Nahitaji kununua kuku wa kienyeji wa kufuga, at least mwenye umriwa miezi 4. Aina yeyote(Malawi, chotara....). Nita furahi niipata muuzaji aliepo Mkoani MWANZA ili iwe rahisi...
Je umekuwa ukihangaika katika mawazo yako na maswali mengi kuhusu greenhouse? Je umekuwa ukipata stress (msongo wa mawazo) kutokana na kutopata maelezo na mafunzo sahihi ya jinsi ya kufanya kilimo...
habari zenu wana JF
Mimi kama mjasiriamali nilitaka kujua kuhusu faida gani nazipata nikiwa mwanachama wa vikoba na riba kiasi gani pamoja na muda wa marejesho
Hii wanajamiii Wajasiliamali wenzanguu..
Nina shida kidogo hapa kwa wale wanaofuga kuku wa kienyeji....
Nina Kuku wangu wanataga mayai ila awatotoi na kama wakitotoa ni kifaranga kamoja Kimoja...
Eti wana JF wapi naweza kuuza asali ya nyuki wakubwa kwa jumla kwa DAR ES SALAAM?
Na je naweza kuuza kwa bei gani?
Natanguliza shukrani zangu kwa wale watakaonisaidia
I am looking for business partner(s) that we can enter into supply business. I am located in Mbeya, Tanzania. I am thinking to export food stuffs (like onions, rice, maize, garlic, carrot, soya...
Habar wakuu samahan nataka kununua shamba ambalo halijawahi limwa hata mara moja ambalo ni pori naanza kufyeka naomba kujunzwa maeneo ambayo nitapata kununua kwa bei poa na taratibu za kufuata...
Sina nia ya kuwaharibia hawa jamaa biashara, ila natoa angalizo kwa mtu ambaye bado hajaingia kwenye huu mkenge wa kununua mashine yao ....apige hesabu Nzuri.
Kwanza kabisa napongeza jitihada...
Habari zenu wadau wa jukwaa hili, Naomba kufahamishwa kwa anayefahamu kuhusu virutubisho vinavyopatikana katika Uduvi kama ni sawa na vile vinavyo patikana katika Dagaa, Samaki.
Wana JF habari zenu,
Ni mwaka sasa toka nimemaliza shahada yangu na sijafanikiwa kupata kazi ya kuajiriwa moja kwa moja, binafsi ninaona muda si rafiki kwangu kutokana na malengo yangu.Hivyo...
Wapendwa nijulisheni wapi naweza kupata mayai kwa ajili ya kutotolesha.
●Aina ya mayai- yawe ya kuku aina ya hampshire.
●Au chotara yoyote- iwe dual-purpose.
●Au aina nyingine...
Habari wajameni.
Nasikia wakulima wa miti ya mitiki(Teak) huko moro wanaongelea CRDB bank wanatoa mikopo kwa dhamana ya hiyo miti, wanasema miti yenye umri wa kuanzia miaka 3 na kuanzia hekari 1...
Mpaka muda huu sijapata majibu ya hizi hoja zangu muhimu.
1.Incubator ya mayai 3,000 inatumia watt ngapi za umeme,nauliza hivyo ili nijue kama solar za watt ngapi zinaweza kufit.
2.Ikiwa solar...