Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

halo wandugu, baada ya kupitia makala nyingi nimeona na mii naweza kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji na kisasa nimeplan kujenga mabanda mawili ya urefu wa futi 20 na upana wa futi 16. moja kwa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Naomba kuuliza hivi...Ukiwa na vifaranga 100....local.... Utaitaji kilo ngapi za chakula uvilishe kwa week... Vya siku1-week
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Ndugu wajasiriamali wenzangu nataka kuanza kilimo cha umwagiliaji maeneo ya mto Ruvu. Kwahiyo napenda kufahamu kwa wazoefu ni mazao gani yenye soko la uhakika jamii ya mboga mboga na matunda...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Namini msemo usemao kidole kimoja hakivunji chawa. Na umoja ni nguvu. Mm ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nina ujuzi na uzoefu wa eneo hili. Nipo nje kidogo ya dar kilwa road. Tayari nimesha andaa...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Mimi ni mkulima hapa Dodoma sehem ninahitaji pikipik ya kuhimili milima na makorongo makubwa yenye mchanga kwa ajili y kutembelea mashamba yangu. napendelea aina zufuatazo za pikpik baja 250...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ninayo nyumba Magomeni Dar, Je vipi ninaweza kuzitumia Bank kujenga Ghorofa Ambayo ikodishwe na kulipa Bank ? Naomba michango yenu wadau. Ahsante Sana.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimepata ujumbe huu kwenye simu yangu. Je hawa wapo kweli? Nukuu: RED EDGE SACCOS LTD inatoa mikopo ya Ada, Pango la nyumba bila ya dhamana. Pia Bajaj, Pikipiki, Solar power, Fedha na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa mara ya kwanza nimeweza nunua shamba langu ekari kumi Kiwangwa. Kwa kweli nimefurahi sana. Ila sasa wanajamvi nishaurini nifanye nini nilime nini Kiwangwa Mamboela. Nimeona mashamba makubwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kujua sehemu ambayo mafunzo ya ujasiriamali yanatolewa.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wadau, kuna kampuni au watanzania wanaoshughulika na uletaji/usafirishaji wa mizigo toka USA? gharama zao zipoje? kama kuna watu wameshwatumia, experience yao ipoje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kama nina pesa taslim sh. milion moja. 1 naweza kuifanyia nini ili nisonge kimaisha
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Jamani nina mtaji wa tsh 1000000 nifanye biashara gani? naomben ushauri wadau.
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Wadau! Hivi naweza pata mashine ya kuangulia mayai isiyotumia umeme!
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Akina Chasa, Mama Joe, Sayuni, SUDEKI na wengineo.... Fursa hii ni yenu hasa wenye makampuni rasmi katika value chain ya kuku na mahindi. Tangazo lilikuwa on the Guardian jana so here you go...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Tanzania's has been growing on average at 7% a year. Ironically this growth has not created productive jobs for Tanzania's 20 million strong workforce? What went wrong? What needs to be done to...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SERIKALI inatarajia kukopesha vikundi vya uzalishaji mali vya vijana vipatavyo 453 katika mwaka wa fedha 2014/15 kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana. Hayo yamesemwa hivi karibuni na Kaimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hbr jaman.... kuna sehem nategemea kupata 6m sasa nilitaka kuweka kwenye broilers sasa mahesab mbona yanaleta lost kwa kuku mmoja Wiki ya 1 15g*kuku 1000=15,000 sawa na kilo 15kwa siku na...
0 Reactions
39 Replies
9K Views
Naomba msaada wana jf kwa anaefahamu jinsi ya kutengeneza maziwa mtindi na changamoto za biashara hii ili tuanze kufanya ujasiriamali huku pia. Thanks
0 Reactions
16 Replies
21K Views
Mimi in mfanyabiashara wa Samaki sato toka mwanza lakini nimejikuta nikikutana na wavuvi wakiwa na marundo ya kamongo(lungfish) bila kua na soko.natafuta soko la kamongo nianze kusuply kwa kilo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habarini wadau,Mimi nataka nianze biashara ya kuuza nanasi hapa dar kwani naona kama ndio msimu umeanza maana nimeona kuna maeneo washaanza kumwaga Naombeni mwenye kujua zinakopatikana kirahisi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…