Waungwana habari za siku tele!
Nawaleteeni habari njema ili tuweze kuwasaidia wale ambao hawana access ya kuingia hapa nao waweze kupata machapisho ya kujisomea waweze kwenda nasi kwenye mambo ya...
Ndugu zangu natafta mchele grade A ule usio na mawe wala usiovunjika kwa bei ya jumla, mwenye nao plz anipm, pia nahitaji kuku na mayai kwa bei ya jumla, mbarikiwe
Ndugu zangu nahitaji mayai fertilized ya kienyeji na chotara kwa ajili ya kutotolesha nipo DAR ES SALAAM. Kwa yoyote anayepafahamu wanapouza Fertilized egg hapa Dar nahitaji sana.
MIMI NI KIJANA WA MIAKA 25 NAHITAJI MKOPO KUTOKA TAASISI,WATU BINAFSI NA WADAU WA MAENDELEO.PIA NINA KAMPUNI YANGU BINAFSI IMEANZA KUTOA &KUFANYA HUDUMA MBALIMBALI KAMA VILE KUTOA USHAURI WA...
Ninaomba msaada wenu wajasiriamali maana nimetumia kila sina ya dawa hata sijui tatizo Ni nn wanakufa kidogokidogo nimesoma topic nyingi na nimezifanyia kazi hapa lkn hata sijui tatizo Ni nn.
Habari gan wana jf leo nimekuja na swali langu la faida gani ntaipata kufungua website au blog nawaomba mnipe ufafanuzi kwa wale wenye uelewa na mambo ya blog na web site.
Asanteni.
Majengo yaliyokuwa yakitumiwa kwa ajili ya Chuo cha Hotel Management yanapangishwa kwa yeyote atayekuwa tayari kuendesha shughuli zake kwenye majengo hayo. Yako Busweli jijini Mwanza...
Sudeki Hatchery ina waletea habari njema kwa wanaotaka kuwekeza kwenye ufugaji wa kuku.
Sudeki hatchery ni kampuni iliyosajiliwa na inafanya utotoleshaji wa kuku wa kienyeji aina bora ya Malay...
Hureeeeeee
Wafugaji wenzangu leo nina furaha sana..katika safari hii ya ufugaji wa kuku wa kienyeji niliyoanza mwezi wa nane mwaka huu.
Leo nimefanikiwa kupata vifaranga 23. Mpango nilionao ni...
Kwa mahitaji ya huduma za uandishi juu ya maswala ya research proposal, research dissertation, data analysis, Project proposal write up, Environment management and Rural livelihood education...
Kuna mtu amependekeza kuanza biashara kwa sh 5000, kama kawaida waungawana humu jf wamedai apeleke huo uzi wake joke forum. Lakini mie nna mtazamo tofauti hapa. Kwamba bado hiyo elfu tano inaweza...
Wana Jukwaa Salaam.
Nina shida ya dharula na ya haraka sana ya Tsh. Ml. 20. Kuna project yangu moja imekwama na inahitaji pesa ya haraka sana. Nitarudisha ndani ya siku 30 kutoka siku...
Mwenye ufahamu juu ya hiyo miparachichi naomba anijuze kwani nipo Wilayani Kilolo-Iringa,ni eneo lenye mvua nyingi za masika,joto la wastani,udongo wake ni mgumu na ni kama mwekundumwekundu,je,kwa...
Hello every1,
Nauza huyu mbwa wa kike aina ya Rottweiler.Nilimnunua kutoka Kenya na kumfundisha "basic obedience" pamoja na guard instincts kumanisha anaskia ukimwambia sit,down,come,leave...