Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 167
Ndugu zangu nahitaji mayai fertilized ya kienyeji na chotara kwa ajili ya kutotolesha nipo DAR ES SALAAM. Kwa yoyote anayepafahamu wanapouza Fertilized egg hapa Dar nahitaji sana.
Duhh ebu nipeni ujanja dada yangu Mama joe na chasha. Ili mitetea yangu itage kwa uwiano mzuri nifanyeje ina 6 month lakini utagaji unasuasua sana na nna wafuga huria ipo 60 lakini kamal 10 tu ndiyo inataga. Ni kenbro ina uzito wa 2 kg.
Kwa Anaye taka ya KARI trai ni Tsh 30,000/ Arusha
mkuu Chasha mimi nahitaji ya Dorep, hadi yafike Dar ni kiasi gani kwa tray?Kwa Anaye taka ya KARI trai ni Tsh 30,000/ Arusha
Naongeza virutubisho na mchicha nimepanda kwaajili yao lakini yananenepa tuu. Je nikinunua hao mitetea weusi na jogoo wa kenbro naweza pata mbegu nzuri?? Jogoo kwa sasa wana 4kg wana 6 month ni machachari kweli.nimeuza 60 nimebakisha 22 kwa ajili ya mbegu imebidi niwatenge kwa sababu mitetea iliyofikia kutaga ni michache hivyo nataka ninunue hiyo mitetea ya malawi.
Kama unataka for layers and broiler eggs nicheck 0717332652
Mimi ninayo sh. 15000 kwa tray niko Dsm kunduchi
Mama Joe sory sikuona hii coment, vipi unahitaji trai ngapi?mkuu Chasha mimi nahitaji ya Dorep, hadi yafike Dar ni kiasi gani kwa tray?
Mama Joe sory sikuona hii coment, vipi unahitaji trai ngapi?
hehe kwenye kuku kumbe kuna makabila??!!!Unataka trei ngapi?, mimi huwa ninayo ya kienyeji. Ingawa sijui kuku wangu ni kabila gani.