Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wadau heshima kwenu, Nauza mitetea wa kienyeji waliofikia umri wa kutaga kwa bei ya shilingi 17000 kila mmoja. Wana maumbo makubwa na wanafaa kwa kufuga au kwa nyama. Nipo Tabata, lakini naweza...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
SICON PRINTERS GET WAY We dealing with; T-SHAT PRINTING; Screen printing & transfer PAPER PRINTING ; Brounchures bussiness cards ID Cards Flyers Posters stickers Callendar Graphics design...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Habari! Kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata Mbegu Za Artemesia naitashukuru sana. Niko Dar es salaam, Namba yangu ni 0654 946992. Asante
0 Reactions
0 Replies
937 Views
Habari! Kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata Mbegu Za Artemesia naitashukuru sana. Niko Dar es salaam, Namba yangu ni 0654 946992. Asante
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni kjana niliyeajiriwa kwenye kampuni moja mafuta Tanzania, lakini nimepata access ya running capital - mafuta pamoja na initial fund ya ku_run petrol station. Kwa yeyote mwenye connection...
0 Reactions
0 Replies
988 Views
Habari za mapumziko ya Pasaka Wana JF, Kwa wale wenye twakwimu embe tuwekeeni hapa ili tuweze kujua vipindi vya kilimo kila mkoa na aina ya mazao yafaayo kwa kilimo ili tuzione fursa na kuzikamata
1 Reactions
0 Replies
1K Views
IPO 800,njombe ina miaka Tisa million12 maelewana yapo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wana jf. Sijui kama hii thread lmeshawekwa au la. Ila lengo ni kutaka kujuzwa juu ya uwekezaji katika soko la hisa. Naomba kujua faida za hisa zinakuwaje, hasara zake na ni wakati gani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana forum Nauza kiwanja changu kipo kigamboni mji mwema karibu na barabara iendayo gezaulole nikama kiwanja cha saba toka barabara kuu ya kwenda geza kin ukubwa wa sqm 350 bei...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hali zenu wadau wangu naitaji kwenda Thailand kununua nguo za watoto yupo anae enda au anajua maduka ya nguo za watoto ya lipo anielekeze au kama anakwenda tuongozane
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau wenye uzoefu na uelewa plz nisaidieni namna ya kutengeneza chakula bora cha Kware cha wik ya5 nakuendelea ili waweze taga vizuri mfululizo na mayai yenye ubora, naogopa chakula cha dukan...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau hasa wale wenye idea na water pump kwa ajili ya kilimo cha umuagiliaji wa kawaida,naombeni msaada wenu juu ya hizi water pump,hasa kuhusu bei,aina na uimara wake!hitaji langu kubwa kwa pump...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Hii ni kampuni inayojihusisha na mambo yote yanayohusiana na viumbe wa kwenye maji kwa maana ya ufugaji wa samaki. Tunatoa ushauri na mafunzo ya jinsi ya kuaandaa bwawa la samaki na ufugaji wa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Oriflame inatoa kuongoza nafasi ya biashara kwa watu ambao wanataka kuanza kupata fedha kutoka siku moja na kufanya kazi kwa kutimiza ndoto zao binafsi na matarajio kwa dhana yake ya kipekee ya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Kwa mahitaji ya kware na mayai ya kware wasiliana nami kwa 0763583214
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta vifaranga mbegu nzuri. Nani anao wa sato?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mobile +255785738738,kware (quail) pia wanapatikana karibuni
0 Reactions
4 Replies
3K Views
kuku wakubwa wa nyama wanauzwa maeneo ya kibamba, mzigo waweza shushwa popote mjini ... umri ni week 6 ....uzito ni kilo 1.5+ .... bei tshs 6,500/= kwa kuku mmoja mwenye kuhitaji kununua...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wanajf habari zebu nawaleteeni habari njema kwa wale wanaopatikana kanda ya ziwa kuwa tuna pokea order za vifarnga wa kuku wa kienyeji, chotara kienyeji, layers, broilers. Karibuni sana 0683111101
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF, Naombeni msaada wa namna ya kuweza kinunua bidhaaa au kuuza kupitia njia ya mtandao mfano Electronics, Cars, Fashion, Collectibles, Coupons and More | eBay Amazon.com: Online...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…