Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

mwenye ujuzi na hii biashara mbao au nafaka maeneo ya Chalinze ani PM
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kna kampuni ya vifaranga vya kuku nimesahau jina lake kama 'saidoo' au naidoo' hivi anayeijua naomba anitajie na namba zao za simu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
[emoji21] [emoji21] nimeshindwa kufuta
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapo katika muonekano mzuri jike na dume white na chokelate nipo dar wwnalalia mayai yao mawili wwnauzww haraka sana check picha za whats app tunaweza kukufikishia ulipo kama hutowezq...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau naombeni ushauri kwani nina mtaji wa milioni kumi ila tatizo mimi ni mwajiriwa na nipo kwenye position yakusafiri safiri sana kuhudumia mikoa kkumi ila makao makuu yapo arusha na hivyo mda...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba mwenye uwelewa wa zinapopatikana mashine za kusaga karanga kwa ajili ya kupikia groundnut zlzotenegenezwa na sido anijulishe mimi niko mwanza, ahsanten.
0 Reactions
6 Replies
9K Views
Habari wana jamii forum ...mimi ni binti niliyemaliza chuo mwaka jana na nikahitimu masomo yangu ya stashahada ya computer science....na kupata matokeo mazuri tuu ya first class... Mpaka sasa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Kuku wa kienyeji wanapatikana kwa bei ya Shilingi 18,000-20,000. Wapo pia kwale wanaotaga, bei ni Sh.10,000. Kwa atakaehitaji anitafute kwa namba hii: 0753249862. Napatikana Dar. KARIBUNI SANA
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanaJFwenzangu, Nimepata wazo ambalo nina imani tunaweza kulifanyia kazi tukiwa kama team wawili au watatu na kuendelea. Tanzania yetu (hapa naiongelea Dar es Salaam), wageni wanaotoka...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Je ni kweli Benki kuu imesitisha kutolewa kwa huduma za mikopo Katika Benki zote ikiwemo CRDB mpaka July! Mwenye habari kamili juu ya hili Tafadhali Wakuu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninayo chumvi tani 33 natafuta wateja wa kabanga ili tufanye biashara
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wapi hapa dar naweza kupata kuku wa kisasa wa mayai? (Vifaranga) Msaada wenu tafadhalini
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ninaomba msaada wa kupata mfanyabiashara wa chumvi aliyepo huko KABANGA, nahitaji kujua bei ya chumvi ikifika Kabanga ili tufanye biashara.
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Community vicoba loans nkweli wanatoa mikopo ama tizi
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau, Msaada kwenye tuta, nataka kuwa wakala wa vyakula vya kuku hususani vya falcon. msaada wa kupata mawasiliano ya Falcon tafadhali na mwenye kujua njia za kufata kupata uwakala. Nipo Dar.
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Wataalamu wenzangu na wajasiriamali wa kiteknolojia,ambao mnajihusisha na uundaji wa mashine za kuangulia vifaranga vya ndege. bila shaka mtakuwa mnatambua ulazima wa ufungaji kifaa kinacho...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau nihiv kwa mwenye soko au uhitaji wa mayai kwa ajili ya kuangulishia mitamuzia kwa bei ya jumla itakayo mpa faida kama ataamua kuuza rejareja anichuki kupitia 0717209059/0765347508 bei...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napenda kutembelea wafugaji wa kuku, nguruwe na mbuzi walioko Mwanza , so kama wewe ni mfugaji na unaweza nikaribisha nikutembelee naomba contact zako ili tuwasiliane Asanteni
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau naamini hamjambo! Kuna Kampuni inajishughulisha na ukopeshaji wa Solar system kwa masharti nafuu sana. Utakopeshwa mtambo huo kwa masharti nafuu na utarejesha baada ya miaka mitatu baada...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Awe na vivid example hata sample images
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…