Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Poleni na majukumu! Samahani sina experience yoyote kwenye ukulima hivyo naomba ushauri wenu. Napanda mbogamboga kama matembele na mboga za maboga, bamia hapa nyumbani kwangu kwa ajili ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ya mchana ndugu zangu. Nimekuwa nikitembea katika mitandao kutafiti kilimo cha machungwa. Huko Kenya nimeona kuna mbegu ya Africa kusini wameitumia inafanya vizuri inaitwa CLANOR. Je...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tar 12/10/2018 mmoja kati ya viongozi wa benki ya maendeleo ya kilimo (Tanzania Agricultural Development Bank) alikuja kuongea na wanachama cha ushirika Madibira. Ushirika unawanachama 3147 ambao...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa je naweza kuendelea kupiga booster ata baada ya mahindi kutoa mbelewele na je kuna madhara yeyote katika matumizi ya booster natanguliza shukurani
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wana jukwaa...natafuta muuza mayai ya kienyeji aliyepo Dodoma vijijini kwa bei ya jumla... Mawasiliano yangu ni 0763797102
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wadau Naamini mpo vizuri Leo tujifunze pamoja kuhusu zao la parachichi Kila mkulima ambaye anafanya kazi ya kulima na kuvuna lengo lake kubwa ni kuhakikisha kwamba anapata mavuno...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji ekari moja au mbili shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo kwa maeneo tajwa hapo juu,kuwe na maji ya kumwagilia,
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu Habari za majukumu, Natumai kazi inaendelea... Kama kichwa cha mada kinavyojieleza ningependa kujua undani, ubora na fursa katika internships za nje ya nchi hasa nchini marekani kwa baadhi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kutokana na passion yangu ya kilimo nimeona nije kwenu wadau kuomba ushauri. Nimepata eneo ninaloishi ambalo nimewaza kufanya kilimo cha mboga mboga na matunda. Nina uzoefu kidogo cha kilimo cha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini, Nimelima tikiti zinatambaa sasa, nilishawahi kuli a mara kadhaa na nikavuna. Changamoto iliyopo inayonifanya niombe ushauri kwenu ni kwamba tikiti zinapoanza kukomaa Kuna viumbe aina...
0 Reactions
1 Replies
695 Views
Habari wanajamvi na wataalamu wa kilimo Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimekuwa na utaratibu wa kuzunguka shamban kwangu mara kwa mara ,,,Leo nimegundua kuna wadudu wa aina mbili ambao...
0 Reactions
1 Replies
833 Views
Wafugaji wengi hufanya makosa makubwa sana ya kuanza kujenga banda na hatimae kuanza kufuga, bila kuwaza namna ya kutengeneza chakula mwenyewe. Bila kuwa na chakula chako mwenyewe, mifugo inatesa...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Tanganyika ilikuwa eneo la kilimo katika utawala wa Uingereza. Walitangaza uwekezaji katika kilimo na waliopenda kuwekeza iliwapasa kuonyonyesha uwezo wao wa kuiendeleza ardhi kabla ya kupatiwa...
1 Reactions
1 Replies
733 Views
Hii wizara inangoja nini kutoa mwongozo wa zao la choroko kuhusu bei maana imekua kimya alimanusura tupo Afghanstan. Waziri husika embu changamka sio mpaka Rais Samia afanye kila jambo. NB...
2 Reactions
1 Replies
891 Views
Habari wadau, Naomba kama una taarifa ya bei (prices) za vyakula vya kuku maeneo ulipo. Unaweza kutueleza pia bei hizo ni kwa kipimo gani, labda gunia, debe au hata kilo. Lengo ni hasa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba nifahamu kwa WAUZAJI wa ndama (ngombe na mbuzi) morogoro mnijuze nataka ninunue pesa cash cash cash
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu salaam, Naomba mwenye kujua dawa ya wadudu wanaoshambulia mimea aina ya mahindi anijulishe.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bei za kusafirisha mazao kutoka sokoni (mikoani) mpaka sokoni Dar/ Masasi mwezi May 2022 zikoje hapo ulipo
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakubwaa..! Samahani kwa yeyote anae fahamu bei ya Ndizi Tukuyu/Kiwira na utaratibu unaotakiwa kufuatwa ukitaka kununua. Pia namna ya kusafirisha mpaka Dar es salaam nauli zinakuwaje, kodi pia...
2 Reactions
1 Replies
917 Views
Dripp and irrigation systems installation tuna funga mifumo ya kisasa ya umwagiliaji na pia ukiitaji vifaa na machine za mashambani zinapitakana. We are providing irrigation installation services...
0 Reactions
1 Replies
375 Views
Back
Top Bottom