Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wakuu napataje kuku chotara. Mkoani iringa Kutaja bei ni muhimu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Karibu tuelimike kuhusu ufugaji samaki
0 Reactions
1 Replies
995 Views
kama kuna anayejua dawa nzuri ya kuondoa magugu kwenye shamba la mpunga anijuze tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Unapofikiria kufanya mradi wa ufugaji wa kuku , hitajio la kwanza na la muhimu ni kuwa na mabanda bora ya kufugai kuku wako. Kwa bahati mbaya sana ujenzi wake umekuwa ghali na hivyo kuwakatisha...
6 Reactions
14 Replies
14K Views
Specimen A
0 Reactions
2 Replies
716 Views
Huu ugonjwa gani? tiba je? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Muhimu sana wakuu. Tanzania yetu, ya viwanda inahitaji maendeleo na uwekezaji wa kudumu katika kilimo na biashara. Kilimo cha miti, ni kilimo kikubwa na kina faida sana kwa nchi yetu, kutokana na...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Hbr za leo wakuu,tafadhali naomba msaada ktk maswala yafuatayo: 1. Je naweza kuwachanja kuku wangu chanjo ya ndui japo muda umeshapita? 2. Ni sahihi kuwachanja kuku chanjo hii wakiwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani msaada kwa mtu ambae amesha fanya hii biashara bucha je inalipa sh ngapi kwa kilo moja
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninafuga ng'ombe wa kisasa.Kipindi hiki cha mvua wanakula majani mabichi na machanga maana yako kwa wingi.Nimegundua maziwa wanatoa ni bora lakini sio mazito kama wakati ule wa kiangazi.Wazoefu...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari wapendwa,nina nusu heka ya shamba nahitaji kulima nyanya...je, ni kiasi gani cha pesa naweza kugharamia kuanzia ununuzi wa miche mpaka kufikia kuvuna wapendwa
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Wapendwa nahitaji kufanya biashara ya samaki Kutoka tanga to Moshi Au mwanza to Moshi Kwa wezangu ambao wameisha Fanya biashara hiyo naombeni.ushauri wenu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari Ndg. wana Jff. . . . . Kama kichwa tajwa hapo juu cha mada, Mimi ni mjasiriamali ambaye nalenga ufunguzi wa duka la pembejeo za mifugo. Hivyo niko mbele yenu kuhitaji msaada wa jina ambalo...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
wakubwa nataka kuagiza mashine ya kukobolea mpunga nje naomba kujua hatua za kuchukua mpaka i aingia site. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji kufahama kuhisu ufugaji wa swan bata bikini (goose) na turkey (bata mzinga) nahitaji kufahamu bei ya vifaranga wao,wakubwa na bei ya mayai yao.Pia wapi wanapatikana
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wapendwa nimechoka na ajira za kubangaiza za bongo, nahitaji kuanza kilimo cha zao la beetroots maeneo ya Dodoma, Morogoro, Singida au Shinyanga. Ninachoomba msaada kwa wanajukwaa ni haya maswali...
4 Reactions
119 Replies
28K Views
Kuna aina nyingi sana za mbegu za Nyanya Hybrid. Zifuatazo ni mbegu na maeneo zinazokubali na kupata mavuno mengi. 1.Eden f1 inakubali maeneo yote tanzania. 2.Assila f1 tanzania nzima...
1 Reactions
18 Replies
33K Views
Babu yangu alikuwa na ardhi kama ekari 70 hivi lakini hakujua alifanyie nini maana kilimo cha kipindi hicho kilikuwa cha chakula ,hivyo ekari 70 ulime ale nani kila familia ina ekari 5 zenye kila...
7 Reactions
20 Replies
4K Views
Wakuu natumai nyote muwazima naombeni msaada mimi ni mkulima ninaemiliki shamba mkoani Tanga wilaya ya kilindi kijiji cha masagusa, nimekuwa nikisumbuliwa mara kwa mara na wafugaji jamii ya...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…