Jinsi babu yangu alivyowaweza wafugaji wakageuka walinzi wa mashamba yetu

The only

JF-Expert Member
May 19, 2011
10,433
13,415
Babu yangu alikuwa na ardhi kama ekari 70 hivi lakini hakujua alifanyie nini maana kilimo cha kipindi hicho kilikuwa cha chakula ,hivyo ekari 70 ulime ale nani kila familia ina ekari 5 zenye kila zao linalowafaa kwa mwaka .

Ghafla kikaja kilimo cha alizeti ,kikahamasishwa hasa mzee akalima lote ,tatizo wafugaji walizoe kuchungia hapo na hakuna aliejali maana ilikuwa majani tu ,sasa ukaanza ugomvi wanaingiza mifugo na tukianzisha kesi kwa mwenyekiti wa kijiji unakuta wenzetu wanauza ngómbe moja tu wanahonga wanashinda kesi .

Mzee alikuja na mbinu ya hatari ya kimafia ,alipanda sambamba na mazao majani haya

rf.png

kikwetu mupizo (meekweed)

Majani haya mara baada ya mfugo kuyala hufa baada ya siku mbili hivyo hakuna ushahidi maana hawafii walipoharibu mazao ,mzeealizungushia hatua kama tano shamba zima na katikati aliweka randomly tuvichaka ,pi alikuwa na chukua ndoo ya maji yenye kilo mbili za chumvi na kuyangunyizia ,jalibu ukiona ngombe wanakula kakojolee majani basi watakula ulipokojoa majani hadi mizizi maana wanapenda chumvi chumvi,kisha akawaarifu ,wakaenda kushitaki kijijini eti hii sio sawa ,akawauliza kama mnauhakika hamna mpango wa kuleta ngómbe mnahofia nn?
Basi kusikia hivyo wakulima wote waka panda haya majani na heshima ikarudi .
 
Babu yangu alikuwa na ardhi kama ekari 70 hivi lakini hakujua alifanyie nini maana kilimo cha kipindi hicho kilikuwa cha chakula ,hivyo ekari 70 ulime ale nani kila familia ina ekari 5 zenye kila zao linalowafaa kwa mwaka .

Ghafla kikaja kilimo cha alizeti ,kikahamasishwa hasa mzee akalima lote ,tatizo wafugaji walizoe kuchungia hapo na hakuna aliejali maana ilikuwa majani tu ,sasa ukaanza ugomvi wanaingiza mifugo na tukianzisha kesi kwa mwenyekiti wa kijiji unakuta wenzetu wanauza ngómbe moja tu wanahonga wanashinda kesi .

Mzee alikuja na mbinu ya hatari ya kimafia ,alipanda sambamba na mazao majani haya

View attachment 966723
kikwetu mupizo (meekweed)
Ni Mimi tu sijaelewa mwisho wa story au. 😂🤗
 
Mimi nilichomwelewa ni kwamba, alipanda mazao akachanganya na mmea huo usiofaa kwa chakula cha ng'ombe (sumu)

Hivyo basi wafugaji wakageuka walinzi wa shamba kwa kuwa walilazimika kuzuia ng'ombe wasiingie shamban kwa babu yake ili wasile hayo majani wakafa
Afadhali.
Maana mleta Mada alituacha njia panda
 
Kuna mihogo niliikuta Nzega wanaiita lyongo nayo ni balaa kwa mifugo.Wafugaji washenzi kwel ila wanakabiliana passively tu hakuna mikuki.
 
Babu yangu alikuwa na ardhi kama ekari 70 hivi lakini hakujua alifanyie nini maana kilimo cha kipindi hicho kilikuwa cha chakula ,hivyo ekari 70 ulime ale nani kila familia ina ekari 5 zenye kila zao linalowafaa kwa mwaka .

Ghafla kikaja kilimo cha alizeti ,kikahamasishwa hasa mzee akalima lote ,tatizo wafugaji walizoe kuchungia hapo na hakuna aliejali maana ilikuwa majani tu ,sasa ukaanza ugomvi wanaingiza mifugo na tukianzisha kesi kwa mwenyekiti wa kijiji unakuta wenzetu wanauza ngómbe moja tu wanahonga wanashinda kesi .

Mzee alikuja na mbinu ya hatari ya kimafia ,alipanda sambamba na mazao majani haya

View attachment 966723
kikwetu mupizo (meekweed)

Majani haya mara baada ya mfugo kuyala hufa baada ya siku mbili hivyo hakuna ushahidi maana hawafii walipoharibu mazao ,mzeealizungushia hatua kama tano shamba zima na katikati aliweka randomly tuvichaka ,pi alikuwa na chukua ndoo ya maji yenye kilo mbili za chumvi na kuyangunyizia ,jalibu ukiona ngombe wanakula kakojolee majani basi watakula ulipokojoa majani hadi mizizi maana wanapenda chumvi chumvi,kisha akawaarifu ,wakaenda kushitaki kijijini eti hii sio sawa ,akawauliza kama mnauhakika hamna mpango wa kuleta ngómbe mnahofia nn?
Basi kusikia hivyo wakulima wote waka panda haya majani na heshima ikarudi .
Mkuu naomba uniambie haya majani ntayapataje na uhitaji wa kuwakomesha hawa wafugaji maana wamekuwa kero kwangu
 
Kuna mihogo niliikuta Nzega wanaiita lyongo nayo ni balaa kwa mifugo.Wafugaji washenzi kwel ila wanakabiliana passively tu hakuna mikuki.
Mpira au?, ikikomaa huwa inatoa Maua mekundu , inaitwa pyrethrum sijui au sio hiyo
 
Mpira au?, ikikomaa huwa inatoa Maua mekundu , inaitwa pyrethrum sijui au sio hiyo
Ni mihogo kabisa yaan huwa wanachimba na waimenya halafu inalowekwa majini for days then inaanikwa wanasaga unga wanakula ugali ILA bila kuiloweka Ni michungu hailiki majani yake ndo yanauwa mifugo yakiliwa.
 
Ni mihogo kabisa yaan huwa wanachimba na waimenya halafu inalowekwa majini for days then inaanikwa wanasaga unga wanakula ugali ILA bila kuiloweka Ni michungu hailiki majani yake ndo yanauwa mifugo yakiliwa.
Sio mifugo tu hata wewe ukijichanganya tunakuokota, majani yake yanatumika kutengenezea dawa za mbu kama Rungu n.k
 
Sio mifugo tu hata wewe ukijichanganya tunakuokota, majani yake yanatumika kutengenezea dawa za mbu kama Rungu n.k
Sasa binadamu na Kula majani ya mihogo wapi na wapi? Hata kisamvu hayachumwi.
 
Back
Top Bottom